Unajua tatizo la mfumo dume kama wetu ni mbaya sana. Mwanamke akifanya kazi na kupanda chati watu wanasema lazima atakuwa anavua chupi. Na tatizo la mabaki ya ujamaa kwa WaTanzania ni kwamba mtu akiwa na strong work ethic, wabongo wanamuita kimbelembele. Sasa wewe unasema Mwamvita ana kimbelembele kila event ya Vodacom yeye yupo--but to us she is aggressive and works hard. In return she is sitting on Vodafone board in London, wakati wewe unapika majungu Jamii Forum. Its all in your perspectives. Ndio maaana Wakenya and non Tanzanians are taking all executive positions in Bongo, kwa sababu ya kasumba ya WaTanzania kuchonga mnoo, ukiona wenzako wanafanikiwa. Wewe Mwamvita piga mzigo, wenye macho na ubongo tunaona.
Well, u said January ana majungu na unadai alimpa barua Mama Shelukindo kuhusu Utumbo wa Jairo na Ngeleja. What u call majungu sisi wengine tunaita kupiga vita rushwa. Kama unavyodai January alimpa data Dr. Slaa kuhusu Riziwani--wewe unaona hayo majungu, sisi wabongo wa mtaani tunaona kijana ana uchungu na nchi. So, Uhuru1 mama, its all in your perspectives. You seem to have a personal hatred against Makamba, which is okay. Endelea kuweka hizo fake email online, au allegations zisizokuwa na ushahidi. Wenzako wanaendelea ku-achieve tangible results.