Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Huyu kijana anaweza kuwa tishio zaidi ya Rostam. Rejea waraka wa dada yake kwa Barrick. Tujitahidi kumpinga kwa nguvu zote.
ndio january ni fisadi mbaya sana mwenye majungu kupita maelezo, ila pia waziri ngeleja ameamua kummaliza kisiasa pamoja na ridhiwani baada ya january kugeuka kuwa msemaji mkuu wa wizara hiyo. hawa jamaa kuna skandal mmoja ya kichinichini ambayo itafichuka karibuni ya huyu mwamvita...........subirini mtaiona