bigKilaza
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 356
- 213
Baba ameaema tuaipende kuongea wakati umeweka chakula mdomoniJamani akisema tu watamfanyia ya Nape Mnauye inabidi ajifanye mjinga, lakini mimi najua atakuwa anaongea na siyo lazima aweke wazi maongezi yake. Hali halisi hairuhusu kuwa mmuwazi katika awamu hii ya tano.
