January Makamba (Mb) amepatwa na nini?

January Makamba (Mb) amepatwa na nini?

He Is a Good Presidential Material,
Anafaa kuwa Raisi wa JMT hapo baadae.
Hana makuu
Hajidai
Sio all knowing
Anasikiliza watu
Mpole
Anahuruma
Msomi
Anahekima
Anajali watu
Anashaulika
Hana papara
Hana tamaa ya mali
Mcha Mungu
Mtoto wa mjini
Sio mshamba
Sio limbukeni
Hana jazba
Hana kisasi
Hajikwezi
Nk.
NB. Anamapungufu ya Kibinadamu na sio ya kitabia.
Atatufaa hapo baadae

I really Like him.

Huwezi kuwa serious ndugu! Labda uwe unafaidika na Microsoft
 
Rejea Sakata La Sukari Inasemekana Alikuwa Akiongea Na Wafanyabiashara Waihujumu Serikali Wakamshtukia Toka Kipindi Hicho Kimya
acha uongo..kwa serikali hii ya magufuli asingebaki salama.
 
Kwanini mkuu,
Mbona kama umehamaki vile...!

Raisi si ni taasisi, yenye viongozi na wataalamu wengi tu wa kuiendesha vizuri.
Au unaangalia Sura...?

Wewe pia unaweza kuwa Raisi Mkuu wacha hizo.

Makamba yuko Smart sana. sio mtu wa kujionesha kutaka sifa. Pale ofisini kwake kazi inafanyika kweli kweli.
Hebu tembelea uone mwenyewe kwa macho yako.
Mimi nimethaminisha utendaji wake wa kazi.

Utaacha lini kutumika? Hatuhitaji kufanya majaribio kwenye hiyo nafasi ya urais.

Shida kubwa ya jamaa ako napenda sana pesa, kumbuka zile tozo pale ikulu za kumwona JK.

Umarekani mwingi sana kuliko utanzania.
 
Januari Makamba kawa kama kafungwa kamba. wanaoruhisiwa KUSEMA ni kina Mavunde, King Ngwalangwala, na wengine wachache..
 
He Is a Good Presidential Material,
Anafaa kuwa Raisi wa JMT hapo baadae.
Hana makuu
Hajidai
Sio all knowing
Anasikiliza watu
Mpole
Anahuruma
Msomi
Anahekima
Anajali watu
Anashaulika
Hana papara
Hana tamaa ya mali
Mcha Mungu
Mtoto wa mjini
Sio mshamba
Sio limbukeni
Hana jazba
Hana kisasi
Hajikwezi
Nk.
NB. Anamapungufu ya Kibinadamu na sio ya kitabia.
Atatufaa hapo baadae

I really Like him.
THUBUTU yake
 
Awamu ile ilimbeba sana sasa ina onekana wazi uwezo wake ni mdogo.et nae alikua anautaka uraisi.nchi hii inavitimbi dogo kapwaya sana kubwebwa sio kuzuri ningekua magu ninge piga chini
i agree with you
 
Huyu Mheshimiwa ni Waziri na moja ya taswira ya CCM wakati wa mchakato wa uchaguzi wa 2015 akiwa pamoja na Kinana na Nape. Kimya chake na kutokuonekana kwake kunazua maswali mengi.

Kama kuna mwenye kujua nini kimempata huyu Mheshimiwa atueleze.
Nafikiri ni waziri kwenye ofisi ya Makamu ya Wa Rais, hebu mcheki Mama Samia atakuwa anajua alipo.
 
Huyu Mheshimiwa ni Waziri na moja ya taswira ya CCM wakati wa mchakato wa uchaguzi wa 2015 akiwa pamoja na Kinana na Nape. Kimya chake na kutokuonekana kwake kunazua maswali mengi.

Kama kuna mwenye kujua nini kimempata huyu Mheshimiwa atueleze.
Kumbukeni watanzania (CCM) mlenichagua kwa vigelegele na shangwe nyingi sana mkijua mm ndiye ninayefaa kuwaongoza, sasa basi achani niongoze taifa la watu walio kimya.
 
Hiyo ni Sera ya dalaja la kitaifa na makubaliano ya Baraza la Mawaziri na sio jambo la Waziri fulani peke yake.

Sijakuelewa vizuri!
Inamana wamekubaliana matumizi ya mifuko ya plastic yaendelee kuchafua mazingira?
Halafu mifuko hii watu wanabebea vyakula vya moto na wengine wanapikia Chakula ktk kupalia wali n.k halafu haiozi.
Hivi Serikali inapata kigugumizi gani ktk kukomesha uzalishaji na matumizi ya mifuko ya plastic ?
Afya Za waTZ ziko mashakani Kama siyo kuathiriwa na hii mifuko jamani !
Kwani Mbona inawezekana kuzalishwa na kutumiwa Kwa mifuko ya karatasi ?
Hilo swala linahitaji mjadala wa Kitaifa!
Sasa atajivunia kuleta tija yenye kuonekana Kwenye jamii!
 
Kwanini mkuu,
Mbona kama umehamaki vile...!

Raisi si ni taasisi, yenye viongozi na wataalamu wengi tu wa kuiendesha vizuri.
Au unaangalia Sura...?

Wewe pia unaweza kuwa Raisi Mkuu wacha hizo.

Makamba yuko Smart sana. sio mtu wa kujionesha kutaka sifa. Pale ofisini kwake kazi inafanyika kweli kweli.
Hebu tembelea uone mwenyewe kwa macho yako.
Mimi nimethaminisha utendaji wake wa kazi.

Yeye, nape na mgulu mambo waliyoyafanya wakati wa kampeni ya uchaguzi ya Taifa ulopita ukiyasikia utawafahamu kuwa ni watu wa aina gani!
 
THUBUTU yake
Jamaa ana hekima ya uongozi ki ukweli.
Hebu msikilize alivyosema siku ya kwanza na kwa mara ya kwanza alipozungumza Bungeni, akiwa kama Mbunge wa Bumbuli.

Tafuta kwenye Youtube.
 
Jamaa ana hekima ya uongozi ki ukweli.
Hebu msikilize alivyosema siku ya kwanza na kwa mara ya kwanza alipozungumza Bungeni, akiwa kama Mbunge wa Bumbuli.

Tafuta kwenye Youtube.
Hamna kitu cha namna hiyo.

HAFAI
 
Kwan kuongea bila kuwa na maamuzi kufuata au unaongea meingne anakuja kusema yeye ndo mwenye maamuz bora akae hvyo hvyo maan dah
 
Katika ndege wachache ambayo mwana anawalia timing huyu no mojawapo. Ila naye ameshtukaga mapema Sana ndio mana anakuwaga makini Sana.
Amebaki Mwigulu Tu.
Nape alishakula kichwa kitambo Sana.
Note that....
 
MAKAMBA SI NDO ALITANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI KABLA YA TUME... NAMKUMBUKA SANA HAYA JAMAA NAMWONA KAMA MTU FULANI ALIYECHANGIA MATATIZO NCHINI.

WACHA ASOMESHWE NAMBA NA KUZIBWA MDOMO TU
 
Back
Top Bottom