Acha uongoRejea Sakata La Sukari Inasemekana Alikuwa Akiongea Na Wafanyabiashara Waihujumu Serikali Wakamshtukia Toka Kipindi Hicho Kimya
Acha uongoRejea Sakata La Sukari Inasemekana Alikuwa Akiongea Na Wafanyabiashara Waihujumu Serikali Wakamshtukia Toka Kipindi Hicho Kimya
He Is a Good Presidential Material,
Anafaa kuwa Raisi wa JMT hapo baadae.
Hana makuu
Hajidai
Sio all knowing
Anasikiliza watu
Mpole
Anahuruma
Msomi
Anahekima
Anajali watu
Anashaulika
Hana papara
Hana tamaa ya mali
Mcha Mungu
Mtoto wa mjini
Sio mshamba
Sio limbukeni
Hana jazba
Hana kisasi
Hajikwezi
Nk.
NB. Anamapungufu ya Kibinadamu na sio ya kitabia.
Atatufaa hapo baadae
I really Like him.
acha uongo..kwa serikali hii ya magufuli asingebaki salama.Rejea Sakata La Sukari Inasemekana Alikuwa Akiongea Na Wafanyabiashara Waihujumu Serikali Wakamshtukia Toka Kipindi Hicho Kimya
Kwanini mkuu,
Mbona kama umehamaki vile...!
Raisi si ni taasisi, yenye viongozi na wataalamu wengi tu wa kuiendesha vizuri.
Au unaangalia Sura...?
Wewe pia unaweza kuwa Raisi Mkuu wacha hizo.
Makamba yuko Smart sana. sio mtu wa kujionesha kutaka sifa. Pale ofisini kwake kazi inafanyika kweli kweli.
Hebu tembelea uone mwenyewe kwa macho yako.
Mimi nimethaminisha utendaji wake wa kazi.
THUBUTU yakeHe Is a Good Presidential Material,
Anafaa kuwa Raisi wa JMT hapo baadae.
Hana makuu
Hajidai
Sio all knowing
Anasikiliza watu
Mpole
Anahuruma
Msomi
Anahekima
Anajali watu
Anashaulika
Hana papara
Hana tamaa ya mali
Mcha Mungu
Mtoto wa mjini
Sio mshamba
Sio limbukeni
Hana jazba
Hana kisasi
Hajikwezi
Nk.
NB. Anamapungufu ya Kibinadamu na sio ya kitabia.
Atatufaa hapo baadae
I really Like him.
i agree with youAwamu ile ilimbeba sana sasa ina onekana wazi uwezo wake ni mdogo.et nae alikua anautaka uraisi.nchi hii inavitimbi dogo kapwaya sana kubwebwa sio kuzuri ningekua magu ninge piga chini
asikubaliane nao yeye nani bwana!!!Hakubaliani na muenendo wa baba ubaya juu ya taifa hili
Nafikiri ni waziri kwenye ofisi ya Makamu ya Wa Rais, hebu mcheki Mama Samia atakuwa anajua alipo.Huyu Mheshimiwa ni Waziri na moja ya taswira ya CCM wakati wa mchakato wa uchaguzi wa 2015 akiwa pamoja na Kinana na Nape. Kimya chake na kutokuonekana kwake kunazua maswali mengi.
Kama kuna mwenye kujua nini kimempata huyu Mheshimiwa atueleze.
Kumbukeni watanzania (CCM) mlenichagua kwa vigelegele na shangwe nyingi sana mkijua mm ndiye ninayefaa kuwaongoza, sasa basi achani niongoze taifa la watu walio kimya.Huyu Mheshimiwa ni Waziri na moja ya taswira ya CCM wakati wa mchakato wa uchaguzi wa 2015 akiwa pamoja na Kinana na Nape. Kimya chake na kutokuonekana kwake kunazua maswali mengi.
Kama kuna mwenye kujua nini kimempata huyu Mheshimiwa atueleze.
Hiyo ni Sera ya dalaja la kitaifa na makubaliano ya Baraza la Mawaziri na sio jambo la Waziri fulani peke yake.
Kwanini mkuu,
Mbona kama umehamaki vile...!
Raisi si ni taasisi, yenye viongozi na wataalamu wengi tu wa kuiendesha vizuri.
Au unaangalia Sura...?
Wewe pia unaweza kuwa Raisi Mkuu wacha hizo.
Makamba yuko Smart sana. sio mtu wa kujionesha kutaka sifa. Pale ofisini kwake kazi inafanyika kweli kweli.
Hebu tembelea uone mwenyewe kwa macho yako.
Mimi nimethaminisha utendaji wake wa kazi.
Jamaa ana hekima ya uongozi ki ukweli.THUBUTU yake
Hamna kitu cha namna hiyo.Jamaa ana hekima ya uongozi ki ukweli.
Hebu msikilize alivyosema siku ya kwanza na kwa mara ya kwanza alipozungumza Bungeni, akiwa kama Mbunge wa Bumbuli.
Tafuta kwenye Youtube.
atashiriki?Utamuona tarehe 26