January Makamba (Mb) amepatwa na nini?

January Makamba (Mb) amepatwa na nini?

Kumbe ndiyo maana kapiga kimya
Lakini pia nadhani alipewa zigo lililozidi umri na uwezo wake ili kumfunza adabu kuwa hawezi toka kuwa mwandishi wa hotuba za raisi mpaka kuwa mtu muhimu na mwenye nguvu kwenye chama.

Kama alidhani vile vimafumbo vyake alivyoviweka kule twitter na kwingineko vina maana sana, achomoze na SULUHU ya kudumu ya kero za muungano, mfupa uliowashinda mafisi....ili tujue amekuwa, anatosha!

Muulizieni pia kuhusu dada'ake yule!
 
Rais ni taasisi ndio lakini labda kwa Marekani, hapa kwetu Urais ni One-Man Show kwa mujibu wa katiba yetu !
- Huyo Makamba hana dira wala wazo lolote jipya la kujenga zaidi ya tamaa tu ya kwenda Ikulu tu. Mtu mwenyewe amefika hapo kwa kubebwa bebwa tu kwa mbeleko
Bila kubebwa huwezi kuifikia hata ngazi ya Mkuu wa Wilaya.
Lazima wakubwa wakubebe.
Ndio ufikio hicho cheo alichonacho.
 
Akiwa na jambo la kutuambia atafanya hivyo. Mbona mfano twitter ni mshiriki mzuri tu. Mimi huwa nabadirishana nae mawazo mawili matatu.
 
Waarabu wanampa pesa, mifuko isitoke kwy mzunguko jamaaa afai kuwa hata kiongozi yoyote, ni muoga sana
Kasoma upepo asije aribu CV yake bado anasafari ya kutimiza ndoto yake, huko ukubwani,sio kama wengine washaharibu cv zao wangali ni vijana wanatembea huku wanajipiga kitanzi.Wakati wana ndoto.Wameshindwa kujua technology utunza historia.
 
Awamu ile ilimbeba sana sasa ina onekana wazi uwezo wake ni mdogo.et nae alikua anautaka uraisi.nchi hii inavitimbi dogo kapwaya sana kubwebwa sio kuzuri ningekua magu ninge piga chini

Acha kabisa kijana uwezo wake uko juu sana hata IQ huwezi mliganisha na b
Kwanini mkuu,
Mbona kama umehamaki vile...!

Raisi si ni taasisi, yenye viongozi na wataalamu wengi tu wa kuiendesha vizuri.
Au unaangalia Sura...?

Wewe pia unaweza kuwa Raisi Mkuu wacha hizo.

Makamba yuko Smart sana. sio mtu wa kujionesha kutaka sifa. Pale ofisini kwake kazi inafanyika kweli kweli.
Hebu tembelea uone mwenyewe kwa macho yako.
Mimi nimethaminisha utendaji wake wa kazi.

Hawajui uwezo wa huyu Kijana hawa,hata uraisi anaweza
 
Back
Top Bottom