January Makamba: CCM imeshashinda majimbo 176 mpaka sasa

January Makamba: CCM imeshashinda majimbo 176 mpaka sasa

Kama ni kweli, Ccm imepoteza Majority power bungeni na inalazimika kuunda serikal ya Mseto.Ielezwe pia amepoteza mangapi
 
Ndiyo matumaini yetu wana ccm ni ushindi nilishaapa siwezi ongozwa na mwizi yule ndiye katuchafulia chama then katusaliti nje ya ushindi wa ccm nikuhama nchi siwezi ni unafiki mkubwa katufanyia yule mtu kwakweli
 
Dr. Slaa atadumu milele moyoni mwangu...

Mbowe nakuombea safari njema, lkn njaa yako ya kutunisha utumbo wako binafsi umetuonesha RANGI halisi za.....
 
Nyinyi ccm watu wenu Wa kujumlisha awajakamatwa
 
Amejuaje wakati matokeo ya Ubunge hayajatangazwa kwenye majimbo mengi
 
Dr. Slaa atadumu milele moyoni mwangu...

Mbowe nakuombea safari njema, lkn njaa yako ya kutunisha utumbo wako binafsi umetuonesha RANGI halisi za.....

Hivi unadhani huyo babu kama ndo angekuwa mgombea wa UKAWA angeshinda?

Thubutu! Alishindwa 2010 na angeshindwa tena 2015, ingawa si kihalali.
 
Tundu Lissu, Mbowe, Prof Safari, Gwajima, Prof Baregu, utafiti wenu umeifikisha hapo Chadema mlipewa onyo lakini tamaa ya pesa imewazika.
 
Taarifa inayotolewa hivi punde na Januari Makamba ni kwamba CCM imeshapata matokeo yote ya uchaguzi. Hata hivyo, wanasubiri mamlaka husika kutangaza matokeo hayo. Hata hivyo amesema kuwa CCM imefanikiwa kushinda majimbo 176 huku ikikomboa majimbo 12 yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani.

Amesema pia mwenendo wa matokeo ya Urais hauna tofauti na matarajio ya wana CCM na Watanzania wengi.

Hongera CCM. Hongera Magufuli

Mmeshapoteza majimbo mangapi hadi sasa?
 
Back
Top Bottom