We jamaa sijui wa aina gani,wivu kwa vijana wenzako unashindwa kuuficha hivi unategemea utatoka kisiasa kwa mgongo wa chuki,fitina na majungu.Shame on you...
Achana na huyo dogo. Ni Robot, sio binadamu.
We jamaa sijui wa aina gani,wivu kwa vijana wenzako unashindwa kuuficha hivi unategemea utatoka kisiasa kwa mgongo wa chuki,fitina na majungu.Shame on you...
We jamaa sijui wa aina gani,wivu kwa vijana wenzako unashindwa kuuficha hivi unategemea utatoka kisiasa kwa mgongo wa chuki,fitina na majungu.Shame on you...
Achana na huyo dogo. Ni Robot, sio binadamu.
ahahahahaha! mkuu kuna siku uliniuliza swali la uchokozi nkakujibu kimafumbo, hayo ndo majibu halisi, dada tunaye aisee. japo sura hana lakini anagawa kuna watu wanamzimikia ati.
Achana na huyo dogo. Ni Robot, sio binadamu.
kabisa aisee, au kaligawa GOti.Atakuwa anasafiria nyota ya mzee Yusuf
ahahahahaha! itabidi iwekwe kwenye katiba, najiuliza tu, hakum'mortgage na mke wake kweli?Majungu?Vijana wenzangu ni wakweli na hawawezi ku-mortgage dada zao ili kutoka kisiasa.Na pia ni wakweli kuhusu taaluma zao.
Mtoa mada kanywa viroba vingapi?
mwanaume mzima fedha anayohongwa dadake yeye ndio anafanyia kampeni~~`
huyu hafai hata udiwani
![]()