January Makamba azidi kuipa presha CHADEMA

January Makamba azidi kuipa presha CHADEMA

Asenga wa Pakaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
260
Reaction score
61
JANUARY MAKAMBA AZIDI KUITESA CHADEMA
WAHAHA NA MAGAZETI YAO KUMCHAFUA.

Alianza Mnyika kugawa no zake za simu ili atukanwe

Ndani ya kamati kuu ya CHADEMA wasema ni mtu hatari kwa CHADEMA mwaka 2015 ashughulikiwe mapema.

Wasema ZITO angeweza kushinda nae mwaka 2015 lakini hatakuwa hajafikisha umri wa miaka 40 ambao J M atakuwa na miaka 41,wahofia asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura watakuwa vijana ni rais kwao kumuunga mkono mpiga kura kijana,kuliko babu.

Waandaaa mikakati mingi zaidi,KUMCHAFUA NAPE NA MWIGULU.wasema vijana hao wakiungana,kila aingiae 2015 ataona mwanga.

Mwenyewe J Makamba asema:" watanzania wametuchagua tuwafanyie kazi,hawajatuchagua tuende ikulu,kila kitu kina wakati wake,na Mungu ni mkubwa"

SAUTI YA VIJANA WASEMA:
RAIS WA 2015 HAWEZI KUTOKA NJE YA CCM,WANASUBIRI TU KUKUCHE DODOMA NA JOGOOO LIWIKE,KAMA NI MAKAMBA,AU WEWE.... SUALA NI CCM KURUDI IKULU KUTEKELEZA ILANI NA KUSHINDA VITI VYA UBUNGE ZAIDI YA 80%

Anaongeza JOHN ITANGO
"ona watu hawa walivyo wa ovyo yani hawataki J Makamba asaidie vijana na awe nao karibu, eti anataka urais, wanavyuo wanayofursa yao yakutoa maoni wakai ukifika, na wakati sasa bado, CHADEMA NDIO HAO WANAOMCHAFUA DAIMONDI KWENYE MITANDANO KWAKUWA KAKATAA KUWA MWANACHAMA WAO,WAO KILA MTU ANAEKUBALIAKA AMBAE YUPO CCM WANATAKA KUMCHAFUA TU, HAPA WAMENOA

TUNASEMA CCM HAIJAANZA KUMTAFUTA RAIS, CCM NDIE ITAAMUWA NANI MGOMBEA SAHIHI WA URAIS 2015, JE KAMA ni J Makamba CHADEMA MNAUBAVU WA HOJA WAKUMZUIA,?CCM IKESHA SEMA?"CHEZA NA CCM WEYE JOGOO AKIWIKA"

J MAKAMBA FANYA KAZI ZAKO ZA UNAIBU WAZIRI,... VIJANA WENZAKO TUNAKUONA NA TUNAKUKUBALI, UKIFIKA WAKATI TUTASEMA KAMA MAONI YETU KWA CCM, NA CCM ITAAMUA KWA HEKIMA KAMA ILIVYO KAWAIDA YAKE"

alisikika akisema Mkt huyo wa UMOJA WA VIJA MAKINI DSM (UVMD).

MIMI NASEMA; CHADEMA ACHENI PRESHA CCM HAIJASEMA MGOMBEA WAKE NANI, MAANA NYIE MPO WA4 NA WA 2 WAMESHAJULIKANA, CCM WENYESIFA NI ZAIDI YA 200
HAMTAAACHA KUPATA PRESHA
 

Attachments

  • JYM.JPG
    JYM.JPG
    37 KB · Views: 591
  • JYM2.JPG
    JYM2.JPG
    34 KB · Views: 623
Chadema ndio chama dume gwiji ambalo kila anayetaka kutoka ataleta uzi hapa ama chadema,Dr Slaa au Mbowe ukweli January hatoshi nchi hii ,Anajulikana kwa sababu ya Kikwete kudharilisha taasisi ya uraisi na kugeuza uraisi ni ubinamu urafiki na ushemeji wa msoga
 
JANUARY MAKAMBA AZIDI KUITESA CHADEMA
WAHAHA NA MAGAZETI YAO KUMCHAFUA.

Alianza Mnyika kugawa no zake za simu ili atukanwe

Ndani ya kamati kuu ya CHADEMA wasema ni mtu hatari kwa CHADEMA mwaka 2015 ashughulikiwe mapema.

Wasema ZITO angeweza kushinda nae mwaka 2015 lakini hatakuwa hajafikisha umri wa miaka 40 ambao J M atakuwa na miaka 41,wahofia asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura watakuwa vijana ni rais kwao kumuunga mkono mpiga kura kijana,kuliko babu.

Waandaaa mikakati mingi zaidi,KUMCHAFUA NAPE NA MWIGULU.wasema vijana hao wakiungana,kila aingiae 2015 ataona mwanga.

Mwenyewe J Makamba asema:" watanzania wametuchagua tuwafanyie kazi,hawajatuchagua tuende ikulu,kila kitu kina wakati wake,na Mungu ni mkubwa"

SAUTI YA VIJANA WASEMA:
RAIS WA 2015 HAWEZI KUTOKA NJE YA CCM,WANASUBIRI TU KUKUCHE DODOMA NA JOGOOO LIWIKE,KAMA NI MAKAMBA,AU WEWE.... SUALA NI CCM KURUDI IKULU KUTEKELEZA ILANI NA KUSHINDA VITI VYA UBUNGE ZAIDI YA 80%

Anaongeza JOHN ITANGO
"ona watu hawa walivyo wa ovyo yani hawataki J Makamba asaidie vijana na awe nao karibu, eti anataka urais, wanavyuo wanayofursa yao yakutoa maoni wakai ukifika, na wakati sasa bado, CHADEMA NDIO HAO WANAOMCHAFUA DAIMONDI KWENYE MITANDANO KWAKUWA KAKATAA KUWA MWANACHAMA WAO,WAO KILA MTU ANAEKUBALIAKA AMBAE YUPO CCM WANATAKA KUMCHAFUA TU, HAPA WAMENOA

TUNASEMA CCM HAIJAANZA KUMTAFUTA RAIS, CCM NDIE ITAAMUWA NANI MGOMBEA SAHIHI WA URAIS 2015, JE KAMA ni J Makamba CHADEMA MNAUBAVU WA HOJA WAKUMZUIA,?CCM IKESHA SEMA?"CHEZA NA CCM WEYE JOGOO AKIWIKA"

J MAKAMBA FANYA KAZI ZAKO ZA UNAIBU WAZIRI,... VIJANA WENZAKO TUNAKUONA NA TUNAKUKUBALI, UKIFIKA WAKATI TUTASEMA KAMA MAONI YETU KWA CCM, NA CCM ITAAMUA KWA HEKIMA KAMA ILIVYO KAWAIDA YAKE"

alisikika akisema Mkt huyo wa UMOJA WA VIJA MAKINI DSM (UVMD).

MIMI NASEMA; CHADEMA ACHENI PRESHA CCM HAIJASEMA MGOMBEA WAKE NANI, MAANA NYIE MPO WA4 NA WA 2 WAMESHAJULIKANA, CCM WENYESIFA NI ZAIDI YA 200
HAMTAAACHA KUPATA PRESHA

...huu nao ni u.p.u.m.b.a.v.u...
 
eti January Rais wa Tanzania -- hii nchi sasa imekuwa ya kujifunzia usanii ama?
 
JANUARY MAKAMBA AZIDI KUITESA CHADEMA
WAHAHA NA MAGAZETI YAO KUMCHAFUA.

Alianza Mnyika kugawa no zake za simu ili atukanwe

Ndani ya kamati kuu ya CHADEMA wasema ni mtu hatari kwa CHADEMA mwaka 2015 ashughulikiwe mapema.

Wasema ZITO angeweza kushinda nae mwaka 2015 lakini hatakuwa hajafikisha umri wa miaka 40 ambao J M atakuwa na miaka 41,wahofia asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura watakuwa vijana ni rais kwao kumuunga mkono mpiga kura kijana,kuliko babu.

Waandaaa mikakati mingi zaidi,KUMCHAFUA NAPE NA MWIGULU.wasema vijana hao wakiungana,kila aingiae 2015 ataona mwanga.

Mwenyewe J Makamba asema:" watanzania wametuchagua tuwafanyie kazi,hawajatuchagua tuende ikulu,kila kitu kina wakati wake,na Mungu ni mkubwa"

SAUTI YA VIJANA WASEMA:
RAIS WA 2015 HAWEZI KUTOKA NJE YA CCM,WANASUBIRI TU KUKUCHE DODOMA NA JOGOOO LIWIKE,KAMA NI MAKAMBA,AU WEWE.... SUALA NI CCM KURUDI IKULU KUTEKELEZA ILANI NA KUSHINDA VITI VYA UBUNGE ZAIDI YA 80%

Anaongeza JOHN ITANGO
"ona watu hawa walivyo wa ovyo yani hawataki J Makamba asaidie vijana na awe nao karibu, eti anataka urais, wanavyuo wanayofursa yao yakutoa maoni wakai ukifika, na wakati sasa bado, CHADEMA NDIO HAO WANAOMCHAFUA DAIMONDI KWENYE MITANDANO KWAKUWA KAKATAA KUWA MWANACHAMA WAO,WAO KILA MTU ANAEKUBALIAKA AMBAE YUPO CCM WANATAKA KUMCHAFUA TU, HAPA WAMENOA

TUNASEMA CCM HAIJAANZA KUMTAFUTA RAIS, CCM NDIE ITAAMUWA NANI MGOMBEA SAHIHI WA URAIS 2015, JE KAMA ni J Makamba CHADEMA MNAUBAVU WA HOJA WAKUMZUIA,?CCM IKESHA SEMA?"CHEZA NA CCM WEYE JOGOO AKIWIKA"

J MAKAMBA FANYA KAZI ZAKO ZA UNAIBU WAZIRI,... VIJANA WENZAKO TUNAKUONA NA TUNAKUKUBALI, UKIFIKA WAKATI TUTASEMA KAMA MAONI YETU KWA CCM, NA CCM ITAAMUA KWA HEKIMA KAMA ILIVYO KAWAIDA YAKE"

alisikika akisema Mkt huyo wa UMOJA WA VIJA MAKINI DSM (UVMD).

MIMI NASEMA; CHADEMA ACHENI PRESHA CCM HAIJASEMA MGOMBEA WAKE NANI, MAANA NYIE MPO WA4 NA WA 2 WAMESHAJULIKANA, CCM WENYESIFA NI ZAIDI YA 200
HAMTAAACHA KUPATA PRESHA
LB7 (lumumba buku 7)...
 
JANUARY MAKAMBA AZIDI KUITESA CHADEMA
WAHAHA NA MAGAZETI YAO KUMCHAFUA.

Alianza Mnyika kugawa no zake za simu ili atukanwe

Ndani ya kamati kuu ya CHADEMA wasema ni mtu hatari kwa CHADEMA mwaka 2015 ashughulikiwe mapema.

Wasema ZITO angeweza kushinda nae mwaka 2015 lakini hatakuwa hajafikisha umri wa miaka 40 ambao J M atakuwa na miaka 41,wahofia asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura watakuwa vijana ni rais kwao kumuunga mkono mpiga kura kijana,kuliko babu.

Waandaaa mikakati mingi zaidi,KUMCHAFUA NAPE NA MWIGULU.wasema vijana hao wakiungana,kila aingiae 2015 ataona mwanga.

Mwenyewe J Makamba asema:" watanzania wametuchagua tuwafanyie kazi,hawajatuchagua tuende ikulu,kila kitu kina wakati wake,na Mungu ni mkubwa"

SAUTI YA VIJANA WASEMA:
RAIS WA 2015 HAWEZI KUTOKA NJE YA CCM,WANASUBIRI TU KUKUCHE DODOMA NA JOGOOO LIWIKE,KAMA NI MAKAMBA,AU WEWE.... SUALA NI CCM KURUDI IKULU KUTEKELEZA ILANI NA KUSHINDA VITI VYA UBUNGE ZAIDI YA 80%

Anaongeza JOHN ITANGO
"ona watu hawa walivyo wa ovyo yani hawataki J Makamba asaidie vijana na awe nao karibu, eti anataka urais, wanavyuo wanayofursa yao yakutoa maoni wakai ukifika, na wakati sasa bado, CHADEMA NDIO HAO WANAOMCHAFUA DAIMONDI KWENYE MITANDANO KWAKUWA KAKATAA KUWA MWANACHAMA WAO,WAO KILA MTU ANAEKUBALIAKA AMBAE YUPO CCM WANATAKA KUMCHAFUA TU, HAPA WAMENOA

TUNASEMA CCM HAIJAANZA KUMTAFUTA RAIS, CCM NDIE ITAAMUWA NANI MGOMBEA SAHIHI WA URAIS 2015, JE KAMA ni J Makamba CHADEMA MNAUBAVU WA HOJA WAKUMZUIA,?CCM IKESHA SEMA?"CHEZA NA CCM WEYE JOGOO AKIWIKA"

J MAKAMBA FANYA KAZI ZAKO ZA UNAIBU WAZIRI,... VIJANA WENZAKO TUNAKUONA NA TUNAKUKUBALI, UKIFIKA WAKATI TUTASEMA KAMA MAONI YETU KWA CCM, NA CCM ITAAMUA KWA HEKIMA KAMA ILIVYO KAWAIDA YAKE"

alisikika akisema Mkt huyo wa UMOJA WA VIJA MAKINI DSM (UVMD).

MIMI NASEMA; CHADEMA ACHENI PRESHA CCM HAIJASEMA MGOMBEA WAKE NANI, MAANA NYIE MPO WA4 NA WA 2 WAMESHAJULIKANA, CCM WENYESIFA NI ZAIDI YA 200
HAMTAAACHA KUPATA PRESHA
Hizi mada za kishenzi shenzi ni burasa mungekuwa mnaziongea huko huko kwenye chama chenu mukishindwa kuelewana peleka kwa Nape au Mwigulu watawasaidien na sio kutuletea hapa. najua baada ya wewe kuandika upuuuuuuuuuuuzi huu yumkini ukabandishwa cheo kwa kigezo kuwa unawaweza wapinzani. Watanzania Tunahitaji Rais ambaye anajua na kuelewa kero za sisi watanzania awe makamba , zito au hata mzazi wako wewe au we mwenyewe. hatuhitaji kudanganywa danganya na wajinga kama wewe ili tuchague boya, nadhani uchaguzi wa mwaka 2005 unatosha kuwa darasa kwa yoyote anayeona mbali na kuitakia mema Tanzania.
 
Zaidi ya kipara na utanashati sijaona sifa nyingine ya January Makamba kuwa tishio kwa CHADEMA, ni kijana ambaye kichwa chake kinamudu mambo machache na huwezi kumfananisha na Mhe.Mnyika,Mhe.Zitto Kabwe,Mhe.Filikunjombe na Mhe.Mdee. Tukiweka unafiki pembeni na kuangalia sifa na uwezo wa kiuongozi basi utakubaliana nami kwamba Mhe.Esther Bulaya ni kiongozi bora kuliko January Makamba. Hata Mwigulu Nchemba ameharibiwa na lines za wanaotengeza networks lakini anao uwezo mkubwa kuliko January Makamba.Hapo alipofika kijana huyo ni chura kupigwa teke!
 
Ccm ni mzuri,but katika suala la Urais wa Tz 2015 kupitia ccm J Makamba ANATOSHA.
 
JANUARY MAKAMBA AZIDI KUITESA CHADEMA
WAHAHA NA MAGAZETI YAO KUMCHAFUA.

Alianza Mnyika kugawa no zake za simu ili atukanwe

Ndani ya kamati kuu ya CHADEMA wasema ni mtu hatari kwa CHADEMA mwaka 2015 ashughulikiwe mapema.

Wasema ZITO angeweza kushinda nae mwaka 2015 lakini hatakuwa hajafikisha umri wa miaka 40 ambao J M atakuwa na miaka 41,wahofia asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura watakuwa vijana ni rais kwao kumuunga mkono mpiga kura kijana,kuliko babu.

Waandaaa mikakati mingi zaidi,KUMCHAFUA NAPE NA MWIGULU.wasema vijana hao wakiungana,kila aingiae 2015 ataona mwanga.

Mwenyewe J Makamba asema:" watanzania wametuchagua tuwafanyie kazi,hawajatuchagua tuende ikulu,kila kitu kina wakati wake,na Mungu ni mkubwa"

SAUTI YA VIJANA WASEMA:
RAIS WA 2015 HAWEZI KUTOKA NJE YA CCM,WANASUBIRI TU KUKUCHE DODOMA NA JOGOOO LIWIKE,KAMA NI MAKAMBA,AU WEWE.... SUALA NI CCM KURUDI IKULU KUTEKELEZA ILANI NA KUSHINDA VITI VYA UBUNGE ZAIDI YA 80%

Anaongeza JOHN ITANGO
"ona watu hawa walivyo wa ovyo yani hawataki J Makamba asaidie vijana na awe nao karibu, eti anataka urais, wanavyuo wanayofursa yao yakutoa maoni wakai ukifika, na wakati sasa bado, CHADEMA NDIO HAO WANAOMCHAFUA DAIMONDI KWENYE MITANDANO KWAKUWA KAKATAA KUWA MWANACHAMA WAO,WAO KILA MTU ANAEKUBALIAKA AMBAE YUPO CCM WANATAKA KUMCHAFUA TU, HAPA WAMENOA

TUNASEMA CCM HAIJAANZA KUMTAFUTA RAIS, CCM NDIE ITAAMUWA NANI MGOMBEA SAHIHI WA URAIS 2015, JE KAMA ni J Makamba CHADEMA MNAUBAVU WA HOJA WAKUMZUIA,?CCM IKESHA SEMA?"CHEZA NA CCM WEYE JOGOO AKIWIKA"

J MAKAMBA FANYA KAZI ZAKO ZA UNAIBU WAZIRI,... VIJANA WENZAKO TUNAKUONA NA TUNAKUKUBALI, UKIFIKA WAKATI TUTASEMA KAMA MAONI YETU KWA CCM, NA CCM ITAAMUA KWA HEKIMA KAMA ILIVYO KAWAIDA YAKE"

alisikika akisema Mkt huyo wa UMOJA WA VIJA MAKINI DSM (UVMD).

MIMI NASEMA; CHADEMA ACHENI PRESHA CCM HAIJASEMA MGOMBEA WAKE NANI, MAANA NYIE MPO WA4 NA WA 2 WAMESHAJULIKANA, CCM WENYESIFA NI ZAIDI YA 200
HAMTAAACHA KUPATA PRESHA

Mkuu umejitaidi, binafsi naona imetosha. Hizi kampeni sio za URAISI zitakua za URAHISI!! Hao vijana unaowasemea ni asilimia ngapi ya vijana wa Tanzania?? Huu uongo na uzushi unakudhalilisha sana mkuu. Nafikiri umeliona tamko la maraisi ya vyuo vikuu kuhusu kukanusha mlichodai kwamba Wanafunzi wa vyuo vikuu wameunda kamati ya kumpigia campaign J.MAKAMBA. Inakusaidia nini katika kupost hizi mada??
 
tatizo la cdm wao wanajifanya wanajua kila kitu,,wanajifanya wazalendo kushinda mtu yeyote na mawazo yao wanataka yawe final,,,wanapenda kauli za watanzania hatutaki,,wakati wako wa3,,,shame on them hii ni nchi ya kidemokrasia ndio maana ata iyo cdm imejulikana,,sasa january makamba kupendekezwa kugombea urais,,ni kama mmeekewa pili pili kwenye nanii,,,,
acheni ubwege,,,
 
JANUARY MAKAMBA AZIDI KUITESA CHADEMA
WAHAHA NA MAGAZETI YAO KUMCHAFUA.

Alianza Mnyika kugawa no zake za simu ili atukanwe

Ndani ya kamati kuu ya CHADEMA wasema ni mtu hatari kwa CHADEMA mwaka 2015 ashughulikiwe mapema.

Wasema ZITO angeweza kushinda nae mwaka 2015 lakini hatakuwa hajafikisha umri wa miaka 40 ambao J M atakuwa na miaka 41,wahofia asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura watakuwa vijana ni rais kwao kumuunga mkono mpiga kura kijana,kuliko babu.

Waandaaa mikakati mingi zaidi,KUMCHAFUA NAPE NA MWIGULU.wasema vijana hao wakiungana,kila aingiae 2015 ataona mwanga.

Mwenyewe J Makamba asema:" watanzania wametuchagua tuwafanyie kazi,hawajatuchagua tuende ikulu,kila kitu kina wakati wake,na Mungu ni mkubwa"

SAUTI YA VIJANA WASEMA:
RAIS WA 2015 HAWEZI KUTOKA NJE YA CCM,WANASUBIRI TU KUKUCHE DODOMA NA JOGOOO LIWIKE,KAMA NI MAKAMBA,AU WEWE.... SUALA NI CCM KURUDI IKULU KUTEKELEZA ILANI NA KUSHINDA VITI VYA UBUNGE ZAIDI YA 80%

Anaongeza JOHN ITANGO
"ona watu hawa walivyo wa ovyo yani hawataki J Makamba asaidie vijana na awe nao karibu, eti anataka urais, wanavyuo wanayofursa yao yakutoa maoni wakai ukifika, na wakati sasa bado, CHADEMA NDIO HAO WANAOMCHAFUA DAIMONDI KWENYE MITANDANO KWAKUWA KAKATAA KUWA MWANACHAMA WAO,WAO KILA MTU ANAEKUBALIAKA AMBAE YUPO CCM WANATAKA KUMCHAFUA TU, HAPA WAMENOA

TUNASEMA CCM HAIJAANZA KUMTAFUTA RAIS, CCM NDIE ITAAMUWA NANI MGOMBEA SAHIHI WA URAIS 2015, JE KAMA ni J Makamba CHADEMA MNAUBAVU WA HOJA WAKUMZUIA,?CCM IKESHA SEMA?"CHEZA NA CCM WEYE JOGOO AKIWIKA"

J MAKAMBA FANYA KAZI ZAKO ZA UNAIBU WAZIRI,... VIJANA WENZAKO TUNAKUONA NA TUNAKUKUBALI, UKIFIKA WAKATI TUTASEMA KAMA MAONI YETU KWA CCM, NA CCM ITAAMUA KWA HEKIMA KAMA ILIVYO KAWAIDA YAKE"

alisikika akisema Mkt huyo wa UMOJA WA VIJA MAKINI DSM (UVMD).

MIMI NASEMA; CHADEMA ACHENI PRESHA CCM HAIJASEMA MGOMBEA WAKE NANI, MAANA NYIE MPO WA4 NA WA 2 WAMESHAJULIKANA, CCM WENYESIFA NI ZAIDI YA 200
HAMTAAACHA KUPATA PRESHA

This is garbage.Ni lini January Makamba aliwahi kujadiliwa Kamati kuu ya CHADEMA?

Asitutoe kwenye ajenda zetu.By the way tuhuma za wizi wa mitihani kidato cha nne kule Galanos hajazitolea majibu ya kutosha.
 
just opened it, only to find an irrelevant and awkward post
 
tatizo la cdm wao wanajifanya wanajua kila kitu,,wanajifanya wazalendo kushinda mtu yeyote na mawazo yao wanataka yawe final,,,wanapenda kauli za watanzania hatutaki,,wakati wako wa3,,,shame on them hii ni nchi ya kidemokrasia ndio maana ata iyo cdm imejulikana,,sasa january makamba kupendekezwa kugombea urais,,ni kama mmeekewa pili pili kwenye nanii,,,,
acheni ubwege,,,

Ulifanya wapi utafiti au unaandika tu kwa kuwa unajua kubonyeza keyboard au simu?
 
Kuna watu ambao wakitajwa sisi CHADEMA tunafikiri kuwa hawa wanaweza kutupa changamoto fulani (ingawa hakuna tunayemuogopa) lakini Januari hayupo katika list hiyo. Hatajwi na wala hawezi kutajwa ndani ya CDM kama mpinzani muhimu!
 
Back
Top Bottom