mkude kibwana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 348
- 27
kila la heri january makamba.
Unaweza kutuambia ni nini ambacho amefanya huyu dogo kikawa na impact kwa taifa ukiisha tuwekea pima na aliyoyafanya Lowasa ambae anaonekana ni fisadi.
kama umtaki wewe na wengine hawamtaki siyo?hacha ujinga wa kubuluzwa na wajinga wajinga wenzio.
kweli mpambavu anatabia ya kushupaa......pole yako kijana husiejitambua,tunaitaji vijana tujiongoze wewe unawaponda tena vijana,au wewe mwenzetu ni mzee nini?Hizo hela mnazolipwa kumpa promo huyo msanii wenu mtugaie na sie basi humu.. Sio mnakuja na maneno matupu tu wakati nyie mmeshalambishwa kitambo kuja kututia ujinga hapa..
kweli mpambavu anatabia ya kushupaa......pole yako kijana husiejitambua,tunaitaji vijana tujiongoze wewe unawaponda tena vijana,au wewe mwenzetu ni mzee nini?
umelopes sh,ngapii mkuu ?gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha bodaboda kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.
kijana amewatembelea vijana wenzake.
vijana tuamke tujipiganie wenyewe vijana tusikubali kuongozwa na wazee tu kila wakati,wakati ndio huu wa kijiongoza sisi wenyewe.kila la kheri ndugu january makamba.
Na wewe ukiwa mmoja wao
kijana amewatembelea vijana wenzake.
vijana tuamke tujipiganie wenyewe vijana tusikubali kuongozwa na wazee tu kila wakati,wakati ndio huu wa kijiongoza sisi wenyewe.kila la kheri ndugu january makamba.
hafai...aliiba mtihani wa form four 1992 akiwa galanos tanga.
kwa anayesema kijana hana uwezo wa kuongea pengine hajawahi kumsikiliza aise.
kweli mpambavu anatabia ya kushupaa......pole yako kijana husiejitambua,tunaitaji vijana tujiongoze wewe unawaponda tena vijana,au wewe mwenzetu ni mzee nini?
wakuache kijan,wewe ndio kiboko yao.
kila la heri january makamba.
gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha bodaboda kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.