January Makamba awa gumzo Kariakoo

January Makamba awa gumzo Kariakoo

Watanzania ndo wamekua wapumbavu kiasi hiki??

10671421_776656852376281_7328041399478880397_n.jpg
 
Gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha Bodaboda Kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.

10671421_776656852376281_7328041399478880397_n.jpg
 
upuuzi mwengine waaina yake huu.
watanzania tuna matatizo sana. pengine hata mtu akishajuana na wazungu wawili tu anautaka urais. nyalandu kwa upande wake alikuja na single kuwa wazungu wanataka awe rais.
 
gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha bodaboda kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.

View attachment 200778View attachment 200780View attachment 200781 wakuache tu.
 
Kariakoo ya mpitimbi au kariakoo yenye mitaa kama narunng'ombe, aggrey, sokoni, etc?
 
siyo kweli bhana,wewe umesikia anakashfa yeyote kulinganisha na hao viongozi wengine waliotangaza nia ya kuutaka urais?

Unaweza kutuambia ni nini ambacho amefanya huyu dogo kikawa na impact kwa taifa ukiisha tuwekea pima na aliyoyafanya Lowasa ambae anaonekana ni fisadi.
 
Gumzo lipo wapi? Hapo alipo alikuwa anaangalia hilo gorofa jipya la homeshoping.

Hivi kariakoo unaijua ama unaisikia?

Poleni sana na huyo kipara wenu
 
kama umtaki wewe na wengine hawamtaki siyo?hacha ujinga wa kubuluzwa na wajinga wajinga wenzio.

Duh!!! haya ni matumzi mabaya ya fedha za walipa kodi yaani hata kinyago kinagawa fedha eti kipigiwe kampeni hapa JF kuhusu urais
 
Back
Top Bottom