mkude kibwana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 348
- 27
Gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha Bodaboda Kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.
gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha bodaboda kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.
kiukweli kijana anafaa kuwa kiongozi wa taifa hili.
View attachment 200785upuuzi mwengine waaina yake huu.
watanzania tuna matatizo sana. pengine hata mtu akishajuana na wazungu wawili tu anautaka urais. nyalandu kwa upande wake alikuja na single kuwa wazungu wanataka awe rais.
labda kuiongoza familia yako na dada zako.
kwahiyo huyu makamba anakubali kwamba na yeye yupo kwenye genge la walafi?
Watanzania ndo wamekua wapumbavu kiasi hiki??
atahangaika sana lakini uraisi ataishia kuusikiliza kwenye radio
siyo kweli bhana,wewe umesikia anakashfa yeyote kulinganisha na hao viongozi wengine waliotangaza nia ya kuutaka urais?
Na wewe ukiwa mmoja waoJombaa! Naendelea kusisitiza sisi wa-Tz ni mataahira!
Labda mnamtaka nyie na familia yenukama umtaki wewe na wengine hawamtaki siyo?hacha ujinga wa kubuluzwa na wajinga wajinga wenzio.
kama umtaki wewe na wengine hawamtaki siyo?hacha ujinga wa kubuluzwa na wajinga wajinga wenzio.