January Makamba awa gumzo Kariakoo

January Makamba awa gumzo Kariakoo

10671421_776656852376281_7328041399478880397_n.jpg

Hatutakubali kuongozwa na wanyoa unga_Askofu valentino mokiwa.
 
gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha bodaboda kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.

tunahitaji viongozi vijana 2015 kama january makamba na wengineo,vijana tujitokeze kwa wingi 2015 kugombea nyasifa mbali mbali.
185457_10151083724889320_1849364786_n.jpg 306104_379167235462606_1352327222_n.jpg View attachment 201082 View attachment 201083
 
Hivi amefanya nini hadi tuwe na ushabiki huu? jamani tuwe makini fikirini au tutakuwa na miaka mingine 10 ya kulia na kusaga meno kama hii 10 tunayoimaliza kwani ni maumivu kila kona!:yell:

Viongozi kama hawa wanahitaji watu wenye mawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragement.
View attachment 201035 View attachment 201041 View attachment 201042
 
kila kiongozi anawakimbilia hao bodaboda wanawatongoza ili wawachote akili zao.....

mmh...inategemea lakini kwamfano january sera yake ni ya vijana ndio maana akaanza na vijana wa bodaboda kwahiyo siyo dhambi kwa kile alichokifanya,sasa ulitaka awafuate wazee wakati anakinzana nao?
 
“But wishes are only granted in fairy tales.”
January anafanya kazi nzuri ya Ubunge. Pia ananisaidia sana kwa kazi ya Wizara niliyompa. Unajua January alipogombea Ubunge alinificha. Nilikuwa nasikia kwa wenzake tu pale ofisini. Baadaye alivyoweka mambo yake sawa ndio akaja kuniambia kwamba Mzee na Mimi najitosa. Nikamtakia heri. Kwa kweli kwa jinsi anavyohangaika na Jimbo lake inaonyesha Ubunge aliutaka Kwa dhati kabisa ya kusaidia watu wa Bumbuli. Nimesikia anafikiria mambo makubwa. Hajaniambia. Mi Nimesikia tu. Namtakia kila la heri. Haya mambo anaamua Mungu. Wala hayalazimishwi. Mungu akitaka linakuwa hata kama watu wote hawataki. Mungu akiwa hataki hata kama mtu ukitaka jambo hilo vipi haliwezi kuwa. Mimi nilishauriwa na Mzee mmoja kwamba jambo likifika wakati wake utalipata hata kama utapingwa kiasi gani. Kama halijafika wakati wake haliwezi kutokea. Mimi niligombea 1995 sikupata kwasababu haikuwa wakati wake. 2005 ikawa wakati wake nikapata. Na wewe usipopata sasa usiweke nongwa.
View attachment 201120 View attachment 201121 View attachment 201122
 
Watanzania ndo wamekua wapumbavu kiasi hiki??

“Mbali ya kwamba January ni mwanangu, lakini najua ana uwezo, anajua shida za Watanzania kwa kuwa alikuwa msaidizi wa Rais Jakaya Kikwete ambaye walizunguka naye Tanzania na dunia nzima.
“Makamba ni msomi, kijana na Tanzania ya sasa inahitaji rais wa kisasa atakayekwenda na kasi ya dunia na Junuary ni kizazi cha digitali, siyo kizazi cha BBC yaani Born Before Computer ambao hawana uwezo wa kukabiliana na kasi ya dunia ya leo,” -Yusuph Makamba
206928_167803439942291_3489915_n.jpg View attachment 201200 1525328_641357909239510_922242819_n.jpg
 
"But wishes are only granted in fairy tales."

"Mbali ya kwamba January ni mwanangu, lakini najua ana uwezo, anajua shida za Watanzania kwa kuwa alikuwa msaidizi wa Rais Jakaya Kikwete ambaye walizunguka naye Tanzania na dunia nzima.
"Makamba ni msomi, kijana na Tanzania ya sasa inahitaji rais wa kisasa atakayekwenda na kasi ya dunia na Junuary ni kizazi cha digitali, siyo kizazi cha BBC yaani Born Before Computer ambao hawana uwezo wa kukabiliana na kasi ya dunia ya leo," -Yusuph Makamba
View attachment 201205 View attachment 201208 View attachment 201209 1560658_641357862572848_668492166_n.jpg
 
...makamba unalilia haki na usawa nawe pia,mnafiki na mdini mkubwa....ya shelukindo umesahau,heri nimpe guruwe kura yangu kiliko wewe.
 
Poleni sana japo hakuna Mada hapa lakini habari ya mjini kwa tarifa tu nawapeni nu UKAWA
 
Kijana amewatembelea vijana wenzake.

Zamani kabla ya kuwa hapo alikuwa anawatembelea? heri hata fastjet alikuwa hata kabla ya kuwa mkulu alikuwa ni mzee wa kujichanganya, btw hongera zake na aendelee hivyo na isiwe usanii wa kipindi kuelekea 2015
 

Is he admitting the current government, starting with the cabinet ni genge la walafi?huyu kijana kweli hajitambui. Mnaemshauri mwambieni ajiondoe Cabinet halafu ndio aanza hizi hadithi za paukwa pakawa.
 
MWIGULU NCHEMBA V/S JANUARY MAKAMBA kila mmoja akijaribu kuvutia kwake ngozi ya kondoo ili ajivike kwa lugha na ukarimu na busara za UONGO ILI KUWANASA WATU WASIOPENDA KUANGALIA RECORD YA MTU YA MIAKA 15 ILIYOPITA/E.N lowassa for the future of our country TANZANIA
 
Back
Top Bottom