Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Angekuwa wa chama chetu tungemuita kamanda na jembe, hawa wanasiasa wa nchi hii wote wana maradhi ya aina moja, usipoteze muda kuwashabikia kijana fanya kazi uepuke umaskini
si kweli mkuu,bodaboda wengi wao ni vijana na sera ya january ni ukombozi wa vijana ktk nafasi mbalimbali pamoja na ushawishi wa vijana kujitokeza kwa wingi ktk uongozi mbalimbali hapa nchini.kwahiyo hakufanya makosa kuwatembelea vijana hao wa bodaboda.kila kiongozi anawakimbilia hao bodaboda wanawatongoza ili wawachote akili zao.....
hakuenda kwa minajali ya kwenda kutatua kero zao bali alienda kuwasikiliza mawazo yao pamoja na ndoto walizonazo ktk maisha yao na kwa taifa lao.Vp kero za waendesha boda boda amedhishulikia?
Nmetoka kapa kabisa hapa!
hakuenda kwa minajali ya kwenda kutatua kero zao bali alienda kuwasikiliza mawazo yao pamoja na ndoto walizonazo ktk maisha yao na kwa taifa lao.
kwa maana hiyo anafaa kuwa rais wa nchi hii kama atagombea kwa makamanda[CHADEMA].Angekuwa wa chama chetu tungemuita kamanda na jembe, hawa wanasiasa wa nchi hii wote wana maradhi ya aina moja, usipoteze muda kuwashabikia kijana fanya kazi uepuke umaskini
vijana tuamke tujipiganie wenyewe vijana tusikubali kuongozwa na wazee tu kila wakati,wakati ndio huu wa kijiongoza sisi wenyewe.kila la kheri ndugu january makamba.
Viongozi kama hawa wanahitaji watu wenye mawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragementGumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha Bodaboda Kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.
Hata mimi!
Mbona content haawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragement
View attachment 201032 View attachment 201033 View attachment 201034
Hivi amefanya nini hadi tuwe na ushabiki huu? jamani tuwe makini fikirini au tutakuwa na miaka mingine 10 ya kulia na kusaga meno kama hii 10 tunayoimaliza kwani ni maumivu kila kona!:yell:
Hivi amefanya nini hadi tuwe na ushabiki huu? jamani tuwe makini fikirini au tutakuwa na miaka mingine 10 ya kulia na kusaga meno kama hii 10 tunayoimaliza kwani ni maumivu kila kona!:yell: