January Makamba awa gumzo Kariakoo

January Makamba awa gumzo Kariakoo

Angekuwa wa chama chetu tungemuita kamanda na jembe, hawa wanasiasa wa nchi hii wote wana maradhi ya aina moja, usipoteze muda kuwashabikia kijana fanya kazi uepuke umaskini
 
Hivi amefanya nini hadi tuwe na ushabiki huu? jamani tuwe makini fikirini au tutakuwa na miaka mingine 10 ya kulia na kusaga meno kama hii 10 tunayoimaliza kwani ni maumivu kila kona!:yell:
 
kila kiongozi anawakimbilia hao bodaboda wanawatongoza ili wawachote akili zao.....
si kweli mkuu,bodaboda wengi wao ni vijana na sera ya january ni ukombozi wa vijana ktk nafasi mbalimbali pamoja na ushawishi wa vijana kujitokeza kwa wingi ktk uongozi mbalimbali hapa nchini.kwahiyo hakufanya makosa kuwatembelea vijana hao wa bodaboda.
 
10671421_776656852376281_7328041399478880397_n.jpg

hakuna rais atakayekuja 2015 zaidi ya january makamba.
 
hakuenda kwa minajali ya kwenda kutatua kero zao bali alienda kuwasikiliza mawazo yao pamoja na ndoto walizonazo ktk maisha yao na kwa taifa lao.

Ndoto za alinacha. wao wakomae na boda boda tu. Wasiwaze ndoto wakati wanaendesha bodaboda maana zikitumbukia kwenye yale mashimo ya kariakoo, mtaji kwishaaaa!
 
Angekuwa wa chama chetu tungemuita kamanda na jembe, hawa wanasiasa wa nchi hii wote wana maradhi ya aina moja, usipoteze muda kuwashabikia kijana fanya kazi uepuke umaskini
kwa maana hiyo anafaa kuwa rais wa nchi hii kama atagombea kwa makamanda[CHADEMA].
 
vijana tuamke tujipiganie wenyewe vijana tusikubali kuongozwa na wazee tu kila wakati,wakati ndio huu wa kijiongoza sisi wenyewe.kila la kheri ndugu january makamba.

mhhh. Yaani huyu mtu anayepromote profesheni ya kuendesha bodaboda ni rais wa namna gani asiyejua hata kubuni miradi endelevu kwa vijana??
Nusu ya hao vijana watapata ajali na kupoteza viungo je nguvu kazi itatoka wapi? wala hata hawambii swala la INSURANCE
 
Gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha Bodaboda Kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.
Viongozi kama hawa wanahitaji watu wenye mawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragement
427675_364430126911024_150055741_n.jpg 310995_259899994051972_1420969970_n.jpg 305246_259899960718642_67232830_n.jpg
 
Hata mimi!

Viongozi kama hawa wanahitaji watu wenye mawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragement
View attachment 201029 421420_364429116911125_678481179_n.jpg 301279_259899977385307_83212221_n.jpg
 
Hivi amefanya nini hadi tuwe na ushabiki huu? jamani tuwe makini fikirini au tutakuwa na miaka mingine 10 ya kulia na kusaga meno kama hii 10 tunayoimaliza kwani ni maumivu kila kona!:yell:

Viongozi kama hawa wanahitaji watu wenye mawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragement

View attachment 201035 View attachment 201041 View attachment 201042
 
Hivi amefanya nini hadi tuwe na ushabiki huu? jamani tuwe makini fikirini au tutakuwa na miaka mingine 10 ya kulia na kusaga meno kama hii 10 tunayoimaliza kwani ni maumivu kila kona!:yell:

Viongozi kama hawa wanahitaji watu wenye mawazo pevu kama wao au zaidi ya wao nyuma yao ili kuitimiza ndoto ya transformationon, lazima tusimame nao kuwasaidia na hata kuwakosoa(kistaarabu) pale ambapo wanajikuta wanasahau maono na malengo na kujiingiza katika harakati nyingine zisizo sawa. they are not prophets, they are just normal people. They need new ideas and encouragement.
View attachment 201035 View attachment 201041 View attachment 201042
 
Back
Top Bottom