The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Namkubali sana Johnson Mbwambo
na gazeti la wiki hii la Raia Mwema amerudia tena kusema January Makamba na watoto wengine
wa vigogo wanabebwa na kupewa madaraka kitu ambacho kitakuja kuleta vurugu hapo baadae nchini...
But hapa kuna hoja mbili.......
kwanza watu wanabebwa huku hawafai.......
pili kuna wanaobebwa lakini pengine wana uwezo....au pengine
tunawahukumu kwa sababu ya majina yao......
Gazeti la Raia Mwema wana utamaduni wa kukubali hoja kutoka kwa watu
hata ambao linawashutumu....so binafsi nafikiri Makamba angejibu hii hoja kwa kuandika
Makala kwenye gazeti hio hilo la Raia Mwema.......
nipo curious kujua anaweza kujibu vipi hoja hiyo na nafikiri huu ni mjadala muhimu kwa taifa...
LEO WATOTO WAO,KESHO NANI?WAKE ZAO?....
na gazeti la wiki hii la Raia Mwema amerudia tena kusema January Makamba na watoto wengine
wa vigogo wanabebwa na kupewa madaraka kitu ambacho kitakuja kuleta vurugu hapo baadae nchini...
But hapa kuna hoja mbili.......
kwanza watu wanabebwa huku hawafai.......
pili kuna wanaobebwa lakini pengine wana uwezo....au pengine
tunawahukumu kwa sababu ya majina yao......
Gazeti la Raia Mwema wana utamaduni wa kukubali hoja kutoka kwa watu
hata ambao linawashutumu....so binafsi nafikiri Makamba angejibu hii hoja kwa kuandika
Makala kwenye gazeti hio hilo la Raia Mwema.......
nipo curious kujua anaweza kujibu vipi hoja hiyo na nafikiri huu ni mjadala muhimu kwa taifa...
LEO WATOTO WAO,KESHO NANI?WAKE ZAO?....