Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Suala la January na wengine (Salma Kikwete, Rithiwani Kikwete, Alfani Kikwete) waliotajwa kwenye makala ya Mmbwambo lilikuwa pia na sura nyingine...Muda wanaotumia kufikia hapo walipo!!
Inawezekana kweli January anao uwezo wa kuiongoza, ila angeweza kufikia mafanikio hayo ndani ya kipindi kifupi? Hili nalo linasikitisha sana kwani kwa mazingira yetu, mafanikio ya haraka haraka lazima yaandamane na ufisadi wa aina fulani....ama wa pesa au matumizi mabaya ya madaraka!!
Tatizo kubwa kwa hawa vijana ni kwamba tukuwagusa wanasema tuna wivu wa kike....very pathetic! Hata hivyo hizi hoja zisipofanyiwa kazi basi wajue wanajichimbia makaburi yao wenyewe!
Inawezekana kweli January anao uwezo wa kuiongoza, ila angeweza kufikia mafanikio hayo ndani ya kipindi kifupi? Hili nalo linasikitisha sana kwani kwa mazingira yetu, mafanikio ya haraka haraka lazima yaandamane na ufisadi wa aina fulani....ama wa pesa au matumizi mabaya ya madaraka!!
Tatizo kubwa kwa hawa vijana ni kwamba tukuwagusa wanasema tuna wivu wa kike....very pathetic! Hata hivyo hizi hoja zisipofanyiwa kazi basi wajue wanajichimbia makaburi yao wenyewe!