ushenzi wake niniNi mshenzi sn yule
Chawa katika ubora wakoSafi sana mtarajiwa
Tapika!Chawa katika ubora wako
Huyu mwizi wa "paper" pale Galanos naona sasa yeye ndo anatapika. Pumbafu sana, juzi juzi kasema watanzania wapuuzi.Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640
Safi sana Makamba wanyoonye hivyo hivyo..Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640
Nilishatapika na endelea kulamba matapishiTapika!
Tapika ulale ila tuu uende pembeniKweli hii Serekali iko chini ya mwananmke, maana hata wanaume wanaongea lugha za kike.
Watatafutwa wenyewe 25,000Akumbuke kuwatumia muamala wa kujaza gesi kila mwezi.
Sera za nini saizi ni kutekeleza ilani kama hivyo.Kipara hana sera
Ndio kakuambia anataka Urais? Kuwa presidential mtarajiwa kuna shida gani? Wajumbe si wapo?1. Njoo mniue
2. Mtusifie kama tumefanya vema
3. Mkatapike.
Huyu ni presidential candidate mtarajiwa. Huyu kichwa boga nilivyokuwa namdhania hata sivyo. Kuna kilaza mmoja bungeni akasema ati Harvard material . Pfyuuuu . Mama akiangalia waliofoji vyeti polisi ,apitie na walioiba peper ndani ya baraza labda tutapumua.
Elfu 25,000 watatumiwa hata na watoto wao.Watatapika hao wanaochukua hiyo mitungi ikiisha hiyo gesi.