Januari Makamba: Kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika

Inatakiwa gesi na mitungi ishuke bei vijijini kwa mkakati maalumu ili vijijini wamudu kununua mitungi na kujaza kilaipasapo sio huo ujinga anaofanya huyu
Ukiisha uko vijijini watawe:za kujaza au watatelekeza mitungi na kurudia kuni???
Viongozi wetu wengi wana little brains labda tukodi mawaziri toka mbele(nchi zilizoendelea)
 
Huyu jamaa mwanzo nilikuwa namtetea ila naanza kuona kumbe kilaza sana, hiyo gesi kujaza huku kwetu mjini ni elfu 25,000 pia kuna suala la umbali nao ni tatizo Sasa huko vijijini watamudu vipi mambo haya? Au lengo lake ni lipi la kugawa hiyo mitungi?
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.

"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.

CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022

View attachment 2304640
Huyu mwizi wa "paper" pale Galanos naona sasa yeye ndo anatapika. Pumbafu sana, juzi juzi kasema watanzania wapuuzi.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.

"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.

CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022

View attachment 2304640
Safi sana Makamba wanyoonye hivyo hivyo..

Maana wewe Makamba,Nape na Mwigulu ndio umekuwa mnaandamwa Sana..

Muwenawajibu shit hivyo hivyo Ndio wataelewa kenge hao.
 
1. Njoo mniue

2. Mtusifie kama tumefanya vema

3. Mkatapike.

Huyu ni presidential candidate mtarajiwa. Huyu kichwa boga nilivyokuwa namdhania hata sivyo. Kuna kilaza mmoja bungeni akasema ati Harvard material . Pfyuuuu . Mama akiangalia waliofoji vyeti polisi ,apitie na walioiba peper ndani ya baraza labda tutapumua.
Ndio kakuambia anataka Urais? Kuwa presidential mtarajiwa kuna shida gani? Wajumbe si wapo?
 
Back
Top Bottom