Januari Makamba: Kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika

Mtumishiwetu

Senior Member
Jul 13, 2022
187
334
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.

"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.

CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022

makamba-pic.jpg
 
Makamba;-


Njoo na mkakati wa kushusha Bei ya nishati!!

Usifanye siasa rahisi ya kugawa t shirt na kofia kama unavofanya!!

Tatua tatizo la muda mrefu achana na zimamoto!!


Nishati ya gesi ni nafuu kiasi GANI ukilinganisha na bei ya nishati nyinginezo!!?una wapa majiko je kuna unafuu wa kuijaza Hiyo gesi!!?


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.

"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.

CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022

Kweli hii Serekali iko chini ya mwananmke, maana hata wanaume wanaongea lugha za kike.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.

"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.

CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
Huyu kijana mpuuzi, yale yale ya wale Nyasi, yale yale ya wapige mbizi. Hopeless
 
Makamba;-


Njoo na mkakati wa kushusha Bei ya nishati!!

Usifanye siasa rahisi ya kugawa t shirt na kofia kama unavofanya!!

Tatua tatizo la muda mrefu achana na zimamoto!!


Nishati ya gesi ni nafuu kiasi GANI ukilinganisha na bei ya nishati nyinginezo!!?una wapa majiko je kuna unafuu wa kuijaza Hiyo gesi!!?


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
Kipara hana jipya this time
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.

"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.

CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
Kumbafu yake. Umempatia huo mtungi gasi ikiisha Hana jinsi ya kununulua gasi! Kwa Nini usihangaike na wananchi kupata umemenwa uhakiki na kazi ziwepo huru waweze kuinunua wenyewe.??!

Kinachoendelea hapa ni kampuni! Huyu hafainkabisa kuwa kiongozi mtizaameni sana maCCM. Babake kasema Kulamba Asali tena usi Kwa uso Kwa Rais Samia!?!
 
Back
Top Bottom