Inabidi mfungulie uzi wake ili tujue ..
Changia heading basi sister ili nikalianzishe!
hapo sasa nmpongeza paka kwa juhudi anazofanya ili kupata anachokitakaNani kasema mnyama hajui kujipendekeza :smile-big:
Nani kasema mnyama hajui kujipendekeza :smile-big:
wanapenda starehe sana acha wanataka cuddles saa zote!!Wee...paka akikuzoea ni sawa na mtu....ukikaa nae anakuja kujilaza mapajani mie nlikua nafatwa hadi nkitoka hadi nimtishie nampiga ndio anarudi....
Angeweza angeita"baby" kama wengine wanavyofanya.