Janga wachume wao, Kula tule Sisi !!!

Janga wachume wao, Kula tule Sisi !!!

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
17,572
Reaction score
27,314
Hata wahenga walisema mchuma janga hula na wakwao na sio mchuma Janga hupelekea wengine wakale...; Ni mengi yalikuwa yakitokea na tuliyaona tangia kitambo; Impunity, Ufisadi, Ufujaji na sio tu kutokujua kula na vipofu bali watu walikuwa mpaka wanawatemea mate let alone kutokuwashika mkono...

Sasa tunaambiwa kwamba mambo yatakuwa magumu na itabidi tutafute pesa wenyewe kwenye kutembeza bakuli hakuna tena...; By the way kwanini tulikopa willy nilly ? Hata kabla watu tulishauliza hapa kitambo...


Na tukaenda mbali zaidi tukauliza....


Sababu kama kutafuta pengine inamaanisha kuongeza matozo na kuwakamua hawa watu ambao mpaka dakika hii wanapumulia mashine ni Kuendelea Kuchuma Janga na hili Janga litakalokuja huenda na Wachumaji pia likawakumba...; Tutumie Busara sababu as thing goes tunaharibiana Nchi....

 
wakati hayo yoote yakiendelea, umeona magari mapya walionunua kwa ajili ya msafara wa raisi na politburo yake? ...
 
wakati hayo yoote yakiendelea, umeona magari mapya walionunua kwa ajili ya msafara wa raisi na politburo yake? ...
Hawa watu kwakweli wanatuharibia sana nchi, gharama ya kuja kurudi kwenye reli itakuwa kubwa sana, mbaya zaidi naona wanazidi kupotea siku baada ya siku
 
Hawa watu kwakweli wanatuharibia sana nchi, gharama ya kuja kurudi kwenye reli itakuwa kubwa sana, mbaya zaidi naona wanazidi kupotea siku baada ya siku

yeah inawezekana kurudi lkn itachukuwa generation, kwani mara nyingi inakua ni vicious circle sijui kama tayari tumeshaingia kwenye hiyo vicious circle ambayo kwa kawadia ni ngumu sana kuivunja, lkn ninajiuliza iweje raisi wa tanzania amteue mtoto wake wa kuzaa kuwa waziri? i mean, haijawahi kutokea kihistoria ktk republic yetu, maraisi wengi wamepita watoto wao siyo kwamba hawakuwa na privilleges kwa kutumua jinala baba, lkn walizitumia sehemu nyingine labda biashara, wengine labda kazi kubwa international organizations etc. na sababu kuu ilikuwa ni aibu, aibu kwa raisi kwamba raisi alijisikia aibu kumfanyia upendeleo wa wazi mtoto wake mwenyewe ambaze tayari ni privilleged, sasa hiyo aibu haipo, tumeingia era mpya kabisa ya akina museveni, gadafi, biya wa cameroun & co.

hivyo ukiona tumefikia mahali ambapo a sitting president anamteua na kumuapisha mtoto wake wa kuzaa kama waziri kwenye cabiinet yake, thats another level , ndiyo maana naamini kabisa kwamba haya maandamano ni justified duniani na mbinguni, we have to break this circle, its now or never ..
 
Back
Top Bottom