Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Dada yetu Mpendwa Jane Mponzi aliyewahi kufanya kazi VODACOM amefariki dunia ghafla jana asubuhi,Ndugu wa karibu wamesema alipatwa na "Heart attack" Jane aliolewa na Herry Makange (Marehemu) aliyekuwa Channel 10 na alifariki kwa ajali ya Boda boda Tegeta. Msiba upo Oysterbay Barabara ya Msasani Baada ya Jackies Bar unaingia mtaa wa kulia kabla ya kile kilima maarufu. MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMEN!
Natumaini naye aliwahi kuwa MwanaJF kwani alikuwa mtu wa Mtandao.
Natumaini naye aliwahi kuwa MwanaJF kwani alikuwa mtu wa Mtandao.