Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 791
- 551
Ni hivi nyie ambao hamshabikii mipira na mnajali muda mmeachieve nini tofauti na watu wanaoshabikia mipira? Unalikuta lidume kabisa halipendi mpira ila Golden Boy ikiwadia na tamthilia za kifilipino zilizotafsiriwa kiswahili linakuwa la kwanza kushika remote. What a waste!
Yaani mkuu haya mambo ya mpira kwa wasiojielewa ni kama ugonjwa au wendawazimu kuna watu hawajali muda wa kazi au vitu muhimu wenyewe ni kubishania mpira tu