Jana nilikutana na mimi

Jana nilikutana na mimi

Unasema baada ya kusogelea kioo kwa ukaribu ndiyo ukajiona vizuri
Ila Leo umerudi tena hujajiona umejaribu kuwasha taa hapo ulipo itakuwa Leo kuna Giza
😁😁😁
 
 
Katika pitapita zangu jana kuna mtu nilimuona nikasema mbona yule ni kama mimi, alikua yupo kwa mbali ilibidi nimsogelee ili kumuona vizuri,

Lakini nilivomsogelea nikamkuta sijamfananisha alikua mimi kabisa nimekaa pale, nguo alizovaa zinafanana na zangu kasoro viatu ndo tofauti,

Ikabidi nimsalimie pia sauti yake ilikua ni kama ya kwangu kabisa nikamuuliza na jina ni la kwangu,

Baada ya kumuuliza mambo mengi nikagundua huyu ni mimi lakini nilishapata hofu inakuaje nijikute tena huku ?

Nikajiacha pale nikarudi home kwa sababu nilikua nawaza sana, nahisi kama wewe ungejikuta sehemu ungeota wiki nzima lakini mimi sikuota na baadae nilichukulia kawaida leo nikarudi pale ila sijajikuta.

Nitakua narudi pale mara kwa mara kuona kama nitajikuta tena sehemu hiyo
downloadfile.gif
 
Katika pitapita zangu jana kuna mtu nilimuona nikasema mbona yule ni kama mimi, alikua yupo kwa mbali ilibidi nimsogelee ili kumuona vizuri,

Lakini nilivomsogelea nikamkuta sijamfananisha alikua mimi kabisa nimekaa pale, nguo alizovaa zinafanana na zangu kasoro viatu ndo tofauti,

Ikabidi nimsalimie pia sauti yake ilikua ni kama ya kwangu kabisa nikamuuliza na jina ni la kwangu,

Baada ya kumuuliza mambo mengi nikagundua huyu ni mimi lakini nilishapata hofu inakuaje nijikute tena huku ?

Nikajiacha pale nikarudi home kwa sababu nilikua nawaza sana, nahisi kama wewe ungejikuta sehemu ungeota wiki nzima lakini mimi sikuota na baadae nilichukulia kawaida leo nikarudi pale ila sijajikuta.

Nitakua narudi pale mara kwa mara kuona kama nitajikuta tena sehemu hiyo
Hivi chai ya rangi unana mke¿¿¿
 
Mimi ilikuwa tofauti kidogo mkuu

Nilishawahi kukutana na mtu amefanana na mimi 100% percent

Ila mavazi ulikuwa tofauti na sikujaribu kuongea nayeye nilikuwa namshangaa tu mpaka akaondoka na njia ilikuwa ndefu na sikumuona tena mpaka leo

Ila nilikuwa nipo darasa la sana kipindi icho

Sasa jioni nilimwambia brother, yeye kipindi hicho alikuwa yupo form 2, aisee alicheka sana akanambia mdogo wangu unaelekea kuwa chizi sasa na utadata mda si mrefu

Na ilikuwa nikiwaambia watu kuhusu kukutana na mtu yupo sawa kila kitu kimuonekano walikuwa wanacheka na kuniona mimi kama comedy.

Sijasahau hilo tukio
 
Back
Top Bottom