Mimi ilikuwa tofauti kidogo mkuu
Nilishawahi kukutana na mtu amefanana na mimi 100% percent
Ila mavazi ulikuwa tofauti na sikujaribu kuongea nayeye nilikuwa namshangaa tu mpaka akaondoka na njia ilikuwa ndefu na sikumuona tena mpaka leo
Ila nilikuwa nipo darasa la sana kipindi icho
Sasa jioni nilimwambia brother, yeye kipindi hicho alikuwa yupo form 2, aisee alicheka sana akanambia mdogo wangu unaelekea kuwa chizi sasa na utadata mda si mrefu
Na ilikuwa nikiwaambia watu kuhusu kukutana na mtu yupo sawa kila kitu kimuonekano walikuwa wanacheka na kuniona mimi kama comedy.
Sijasahau hilo tukio