Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Tanzania ni nchi ya sheria japokuwa saa zingine kuipata haki unapopambana na serikari inataka uwe maarufu na mwenye uwezo wa kuipeleka kesi mahakama za juu usiporidhika na maamuzi ya mahakama za chini.
Wanavijiji kila siku wanaibwaga serikari kwenye kesi za ardhi; hata serikari ya Magufuli ilipewa zuio la bomoa bomoa na kuamiliwa fidia ilipwe kwa wakazi wa mabondeni wenye hati
Kama kweli bunge live ni haki ya kikatiba au kufanya mikutano ya hadhara miaka mitano mfulululizo mbona UKAWA wasianze na mahakama? Wanajua hakuna haki hizo bali wamedhamiria kujaribu kufanya fujo kama njia ya kulazimisha agenda zao.
Wanavijiji kila siku wanaibwaga serikari kwenye kesi za ardhi; hata serikari ya Magufuli ilipewa zuio la bomoa bomoa na kuamiliwa fidia ilipwe kwa wakazi wa mabondeni wenye hati
Kama kweli bunge live ni haki ya kikatiba au kufanya mikutano ya hadhara miaka mitano mfulululizo mbona UKAWA wasianze na mahakama? Wanajua hakuna haki hizo bali wamedhamiria kujaribu kufanya fujo kama njia ya kulazimisha agenda zao.