Jamiiforums ya bure (bila bundle)

Jamiiforums ya bure (bila bundle)

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
Kipindi JF imefungiwa nilikuwa napitia sana ukimbizini kenyatalks jukwaa la jamiiforums. Kule nilikutana na wadau wanaongelea jamiiforums ya bure bila kuwa na bundle. Ebu kwa anayefahamu inakuwaje hii anipe elimu kidogo

Usije na povu ukasema napenda kitonga, nataka kufahamu tu vyuma vikigoma nizame JF bila bundle.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ipo kitambo sana mkuu.

Hii Free basics utaiona ya muhimu ukikosa hela.

Ni nzuri ukitumia laini ya tigo na sio Voda.

Kama unatumia tigo nenda Opera huwa inakuja yenyewe.
 
Follow youtube channel yangu kwa maujanja kama hayo na ole wako usisubscribe
 
Install app ya freebasic utaiona jamii forum log in kweny account yako endelea kula maisha,unaweza pia kuingia freebasic kwakutumia line ya halotel .
 
Back
Top Bottom