Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
Naam, niite raisi wa ma jobless pro max.Rais😂
Naam, niite raisi wa ma jobless pro max.Rais😂
kwenye kaburi lako itabidi waandike hii aiseeI mean no malice to nobody
Itakuwa unyama sana, I mean no malice to nobody.kwenye kaburi lako itabidi waandike hii aisee
Kwa LIKUD wataandika MAKGA(Make Kayumba Great Again)🤣Itakuwa unyama sana, I mean no malice to nobody.
Marhaba hujamboo. Kijana wanguMrembo mbona hujibu salamu zangu?
Habari yako?
Za masiku?
DAY 2 without reply.
12:22AM
Unapo mtaja raisi wa ma jobless pro max, ni vyema um tag au kumtaja mkuu.There is no such thing as Free lunch
Usichome gari
Mimi ni Kijana wa RAIS WA MAJOBLESS PROMAX
He got weak facts, na sioni kipya katika maelezo yake.Kwa LIKUD wataandika MAKGA(Make Kayumba Great Again)🤣
Sijambo mrembo wangu.Marhaba hujamboo. Kijana wangu
Kwa asilimia kubwa naona anapatia lakiniHe got weak facts, na sioni kipya katika maelezo yake.
achape kazi tu, kuliko kusaka validation za ajabu.
Nilikua nimelewa. Kwann ulisubiri nilewe ndio uniambie😌😌Sijambo mrembo wangu.
Ile picha ulisema utaiweka PM mbona sijaikuta?
somehow Kama hiyo making makga sio mbaya, but if he got money to spoil small girls age ya wanawe.Kwa asilimia kubwa naona anapatia lakini
🤣umepiga panapoumabut if he got money to spoil small girls age ya wanawe.
Halafu aje aone ni kazi kulipa ada kwa watoto wake, huo si uduwanzi.
Kwanini ulewe mrembo wangu, huogopi kurosti figo?Nilikua nimelewa. Kwann ulisubiri nilewe ndio uniambie😌😌
naam kidumu chama Cha ma jobless pro max .
anasomesha huyo, sio jobless
Je habari hizi ni za kweli? Unalamba asali Intelligent businessman RAIS WA MAJOBLESS PROMAXanasomesha huyo, sio jobless
Nakumbuka mara ya mwisho ulikua ni mwanangu. Ishi hapo🤔 Figo inawapiga hata nyie wanywajii wa maji na pepsiKwa ulewe mrembo wangu, huogopi kurosti figo?
Haya nitumie, niko hapa nasubiri.
Halafu em yake ni 1.5, halafu Ile siku ali spend 150 k that ain't usual for me.🤣umepiga panapouma