Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,227
Wengine ndo sijui sababu ya kuwahi kulala? Yaan usingizi umekata mazima😒Walinzi mmetoroka lindo🙄🙄
Wengine ndo sijui sababu ya kuwahi kulala? Yaan usingizi umekata mazima😒Walinzi mmetoroka lindo🙄🙄
Basi baki hapa tupige stori mremboWengine ndo sijui sababu ya kuwahi kulala? Yaan usingizi umekata mazima😒
Yeah nipe story mkuu😃Basi baki hapa tupige stori mrembo
🤣inatakiwa ulale mkuu...unakaaje usiku?Nimekaa hapa kwa masaa 8 pekeyangu sina usingizi nmeshika glass ya whysky nisogeze muda. Maisha ya upweke ni mabaya sana sikis tu.
Poapoa✊🏽How are u doing comrades
🤜🤛Poapoa✊🏽
Hakuna namnà na iwe hivyo Tu kwamba kulala isiwe mazoea kwa kuwa ni usiku Bali kulala iwe Tu kwa kuwa mwili umegoma kuwa machoNimekaa hapa kwa masaa 8 pekeyangu sina usingizi nmeshika glass ya whysky nisogeze muda. Maisha ya upweke ni mabaya sana sikis tu.
Usiku ni wakati sahii. Mchana kuna usumbufu sana kwenye kulala. Na ndoto za mchana huwa si murua kabsa.Hakuna namnà na iwe hivyo Tu kwamba kulala isiwe mazoea kwa kuwa ni usiku Bali kulala iwe Tu kwa kuwa mwili umegoma kuwa macho
Mi binafsi usingizi utakapoangukia haijalishi ni mchana wa makelele njozi zinakubali tuUsiku ni wakati sahii. Mchana kuna usumbufu sana kwenye kulala. Na ndoto za mchana huwa si murua kabsa.