Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,438
00:35 trappin like Pablo, dope like narcos
Winnie...
Za kunisusa?abeee
Za kunisusa?
haya nilikumithi...hata sijakususa,, ila tumesusiana wote
haya nilikumithi...
haya nilikumithi...
nipo sana, wewe ndo unajificha ficha sijui unaogopa nini....em nambie kwanza nani kakuficha mpka umenikalia kimya kias hicho[emoji17]
nipo sana, wewe ndo unajificha ficha sijui unaogopa nini....
poa acha nipumzishe fuvuhapana hata sijifichi ila kuna mda huwa nakoswa cha kuongea ko naamua kuwa mtazamaji tu
poa acha nipumzishe fuvu
Mi nilijua utamwita Winnone aeleze kilichomfurahisha huko "vituko" vya mwaka jana😂😂01:48 Shadow7 na Kichwa Kichafu wera au guys🤓
Sija wahi socialize nae, so kumvagaa mtu sio kitu kizuri.Mi nilijua utamwita Winnone aeleze kilichomfurahisha huko "vituko" vya mwaka jana😂😂
Umenena vyema lakini hapa ndipo sehemu sahihi ya kujaribu socialisation na mtu yeyote anayejumuika mahali hapa na kuextent urafiki mpaka kwenye majukwaa mengine.Sija wahi socialize nae, so kumvagaa mtu sio kitu kizuri.