JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wew najua wapi nitakumaliza
😅😅😅 ukitaka ishi kwa raha humu Jf usiwe na mpenzi.. ila kama una mpenzi jua kuna mtu unachart nae, anakuchekea ana like comment zako.. na ndio anakugombea manzi wako 😅😅😅😅 au nasema uwongo my love To yeye na shemeji yangu Intelligent businessman
 
😅😅😅 ukitaka ishi kwa raha humu Jf usiwe na mpenzi.. ila kama una mpenzi jua kuna mtu unachart nae, anakuchekea ana like comment zako.. na ndio anakugombea manzi wako 😅😅😅😅 au nasema uwongo my love To yeye na shemeji yangu Intelligent businessman
💯 percent, ni sawa na kusema uanzishe hela- halafu watu wasi itumie🤣😂😂😂🏃🏃🏃🏃
 
Aahahah

au kalalia kifua cha member mwingine
pigia mstari 😅😅😅 alafu unakuta member mshikaji wako sana humu.. jf.. kuna jamaa humu alikuwa jamaa yangu sana hadi PM kumbe ananiua ile mbaya kwa manzi mmoko humu, bahati nzuri ile manzi alikuwa mwana tu akawa ananionesha jamaa anavyo niua 😅😅
 
Back
Top Bottom