JamiiForums thanks

alpha5

JF-Expert Member
May 26, 2011
210
53
Hi Brothesr and sistesr,

Kwanza kabisa napenda kuwashukuru sana members wote humu maana mmenisaidia mengi sana kama miaka 2 iliyopita niliomba ushauri humu mkanisaidia ndoa yangu ilikua inakwenda kwa maji so nimerudi tena.

>>Mimi ni mwanaume na nina mke na watoto3 kwangu ni Arusha nimeshajenga nakaa kwangu, mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini na mimi ninafanya kazi sector binafsi nimeanza kuishi na mke wangu toka 2004 >2016=12 tuliishi kwa furaha amani na upendo. Mwaka 2014 nilisimamishwa kazi kwamatatizo flani flani ya kikazi so mwaka 2014

>>2015 wote nilikua nyumbani namaanisha sikubahatisha kazi kabisa nilizunguka kila kona ya Arusha lakini wapi hadi nikahisi nimetupiwa mkosi,2015.

>Mke wangu akaanza kubadilika akawa mtu wa hasira kitu kidogo tu ataongea usiku kucha basi kuna vitu flani flani haki za mme nikawa sipewi tena kisingizio eti kachoka mfano kama kufua nguo zangu chakula cha usiku na mengine kama hayo,tunaweza kaa siku tatu hatuongei kanuna lakini the same time akipigiwa simu na marafiki zake anaongea kwa vicheko akikata tu simu anavaa sura ya kazi au nikiwa sipo anakuwa na furaha kweli lakini nikiingia tu nyumbani ananuna anakwenda na kulala kabisa.

So hali hiyo imenifanya mimi niwe na mawazo mno imepelekea hata kudhoofu mwili nimekonda mno mwanzoni mwa mwaka huu 2016 alinifanyia kituko ndicho kilichonipelekea mimi kuja kuomba ushauri humu tar 20/1/2016 alichelewa kuja home isivyokawaida yake na kila nilipompigia simu yangu alikua hapokei, nilifunga milango tukaingia kulala na watoto yeye alikuja saa 11 usiku so sikumfungulia mlango kwa hasira alilala nnje alfajiri kumfungulia akaingia kwa matusi naomba ninukuu.

>>>Hivi unathubutu kunifungia nje mimi ninavyokubeba hapa mjini niende kutafuta nije wewe ule unajua hata ni wapi natoa hizo pesa unazo kula?Unafikiri hata leo nisipoleta hata kumi utakaa mjini wewe? Ngoja sasa kesho naondoka nakuachia hili linyumba na watoto wako mtajua mtakulanini,so kwakweli niliumia mno na kwahasira nilimpiga sana kwa siku hiyo alishindwa hata kwenda kazini ilipofika usiku akenda kulala kwa chumba cha watoto lakini alisahau simu yake chumbani kwangu basi nikaanza kupitia msg nikaona alikua anachat na dada yake mkubwa, dada yake anampa maelekezo kua amchukue mtoto mmoja ahame hapo kwangu kuna chumba sehemu amempatia.

So nikapata akili haraka haraka kua huyu wife akinitelekezea hawa watoto na mimi sina kazi itakua matatizo zaidi so nikapata wazo bora mimi niondoke hapo nyumbani niende popote pale kuokoa hili jaazi, so alfajiri sana nilidamka nikakamata basi nikaja Dar sasa nina mwezi wa 2 huku Dar wiki iliyopita ameanza kunipigia simu ananiomba nirudi nyumbani maana hawezi kukaa mwenyewe na watoto anaogopa pia anadai kua watoto wanamsumbua kumuuliza baba yuko wapi?

NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE? NIRUDI ARUSHA AU NIKOMAE KWANZA DAR NITAFUTE MAISHA?
 
Pole sana bro.. ila nakushauri rudi nyumbani...kumbuka mwanaume hapaswi kukimbia matatizo bali anatakiwa apambane nayo....mkalishe chini mkeo then zungumza nae kwa kirefu kuhusu situation uliyonayo hasa kuhusu kazi....pia mwambie dada yake asimpoteze na asiingilie mambo ya ndoa yenu...Mwisho hili ni jukwaa la siasa hii mada peleka MMU.
Cc Invisible
 
umefanya kosa kubwa sana kuacha famili kwa lugha nyingine tunasema umetelekeza familia maana umeondoka bila kuaga, hata maelezo yako yanasema kwamba umeondoka nyumbani kukwepa majukumu kwa kuhofia mkeo anaweza kukusia watoto afu ukshindwa kuwalea.

Kosa kama hilo ni kubwa sana maana hujui utarudi lini kulea familia, je vipi watoto wako wakikua wakaambiwa na mama yao kwamba baba yenu aliwatelekeza. Sifa ya BABA ni kupambana na matizo na sio kuyakimbia au unafikiri kuitwa baba ni bahati mbaya? baba ni kichwa anatakiwa aiongoze familia yake haijarishi yupo katika hali gani kiuchumi.

Ulishindwa nini kumkopa pesa mkeo ufanye biashara afu utamrudishia pindi biashara ikikangamana. Hata kama ulumuomba akakunyima haikuwa sababu ya kufanya maamuzi uliyoamua sasa, ulikuwa na nafasi ya kukaa na mkeo kuzungumzia matatizo yanayoikumba famila yako ikiwa ni pamoja na mkeo kuchelewa,kukudharau na sio kukaa kimya. huoni kwamba uikuwa unafuga maovu bila kujijua mpaka mkeo akaona anayofanya kumbe unafurahishwa nayo mpaka akamua kulala nje.

Ushauri wangu rudi nyumbani kwako haraka ukajenge familia, huoni kwamba watoto wasio na hatia unawanyima haki za malezi ya bab. mwambie ukweli mkeo kuhusu tabia yake kuwa hupendezwi nayo, kama unaona habadiriki anaendelea nayo basi itakubidi ufanye maamuzi magumu ya kuachana nae. Pengine atakuumiza zaidi ya hapo.

kijana ulifanya makosa kukaa muda mrefu bila kazi inamaana hulishindwa hata kufanya biashara ndogondogo. Kuna thread nimeandika inaitwa "NAMNA YA KUISHI MAISHA YA UHUSIANO" itakusaidia kama utaisoma
 
umefanya kosa kubwa sana kuacha famili kwa lugha nyingine tunasema umetelekeza familia maana umeondoka bila kuaga, hata maelezo yako yanasema kwamba umeondoka nyumbani kukwepa majukumu kwa kuhofia mkeo anaweza kukusia watoto afu ukshindwa kuwalea.

Kosa kama hilo ni kubwa sana maana hujui utarudi lini kulea familia, je vipi watoto wako wakikua wakaambiwa na mama yao kwamba baba yenu aliwatelekeza. Sifa ya BABA ni kupambana na matizo na sio kuyakimbia au unafikiri kuitwa baba ni bahati mbaya? baba ni kichwa anatakiwa aiongoze familia yake haijarishi yupo katika hali gani kiuchumi.

Ulishindwa nini kumkopa pesa mkeo ufanye biashara afu utamrudishia pindi biashara ikikangamana. Hata kama ulumuomba akakunyima haikuwa sababu ya kufanya maamuzi uliyoamua sasa, ulikuwa na nafasi ya kukaa na mkeo kuzungumzia matatizo yanayoikumba famila yako ikiwa ni pamoja na mkeo kuchelewa,kukudharau na sio kukaa kimya. huoni kwamba uikuwa unafuga maovu bila kujijua mpaka mkeo akaona anayofanya kumbe unafurahishwa nayo mpaka akamua kulala nje.

Ushauri wangu rudi nyumbani kwako haraka ukajenge familia, huoni kwamba watoto wasio na hatia unawanyima haki za malezi ya bab. mwambie ukweli mkeo kuhusu tabia yake kuwa hupendezwi nayo, kama unaona habadiriki anaendelea nayo basi itakubidi ufanye maamuzi magumu ya kuachana nae. Pengine atakuumiza zaidi ya hapo.

kijana ulifanya makosa kukaa muda mrefu bila kazi inamaana hulishindwa hata kufanya biashara ndogondogo. Kuna thread nimeandika inaitwa "NAMNA YA KUISHI MAISHA YA UHUSIANO" itakusaidia kama utaisoma

ahsante sana mkuu hata mimi sipendi kukaa bila kazi imetokea tu ...mimi kuondoka sio kwamba nimetelekeza familia hapana nimejaribu kukaa mbali kidogo na wife na nijipange upya ila ntachopata chochote nitatuma kwaajili ya watoto...watoto nawapenda sana na hua haipiti siku 2 bila kuongea nao
 
Pole sana bro.. ila nakushauri rudi nyumbani...kumbuka mwanaume hapaswi kukimbia matatizo bali anatakiwa apambane nayo....mkalishe chini mkeo then zungumza nae kwa kirefu kuhusu situation uliyonayo hasa kuhusu kazi....pia mwambie dada yake asimpoteze na asiingilie mambo ya ndoa yenu...Mwisho hili ni jukwaa la siasa hii mada peleka MMU.
Cc Invisible

thanks mzee ...hiyo kuhamisha hii topic kupeleka sijui mmu naona kama sitaweza
 
thanks mzee ...hiyo kuhamisha hii topic kupeleka sijui mmu naona kama sitaweza
invisible sasa hivi amelala atauhamisha huu UZI kesho kwenda MMU

ila wanaume TUMEUBWA MATESO kuhangaika
USHAURI rudi nyumbani tafuta biashara yoyote ufanye ata kama utahisi utadhalaulika usijari maisha ndivyo yalivyo ubadilika wakati wowote usisubiri mpk upate kazi ya taaluma yako jishughulishe mtegee mungu mdogomdogo utatoka ukiwa na nia
 
Hi Brothesr and sistesr kwanza kabisa napenda kuwashukuru sana members wote humu maana mmenisaidia mengi sana kama miaka 2 iliyopita niliomba ushauri humu mkanisaidia ndoa yangu ilikua inakwenda kwa maji.so nimerudi tena>>mimi ni mwanaume na nina mke na watoto3 kwangu ni Arusha nimeshajenga nakaa kwangu, mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini na mimi ninafanya kazi sector binafsi nimeanza kuishi na mke wangu toka 2004 >2016=12 tuliishi kwa furaha amani na upendo. mwaka 2014 nilisimamishwa kazi kwamatatizo flani flani ya kikazi so mwaka 2014>>2015 woote nilikua nyumbani namaanisha sikubahatisha kazi kabisa nilizunguka kila kona ya arusha lakini wapi hadi nikahisi nimetupiwa mkosi,2015>mke wangu akaanza kubadilika akawa mtu wa hasira kitu kidogo tu ataongea usiku kucha bas kuna vitu flani flani haki za mme nikawa sipewi tena kisingizio eti kachoka mfano kama kufua nguo zangu chakula cha usiku na mengine kama hayo ,tunaweza kaa siku tatu hatuongei kanuna lakini the same time akipigiwa cm na marafiki zake anaongea kwa vicheko akikata tu cm anavaa sura ya kazi.au nikiwa sipo anakua na furaha kweli lakini nikiingia tu nyumbani ananuna anakwenda na kulala kabisa ,so hali hiyo imenifanya mimi niwe na mawazo mno imepelekea hata kudhoofu mwili nimekonda mno ,mwanzoni mwa mwaka huu 2016 alinifanyia kituko ndicho kilichonipelekea mimi kuja kuomba ushauri humu tar 20/1/2016 alichelewa kuja home isivyokawaida yake na kila nilipompigia cm yangu alikua hapokei ..nilifunga milango tukaingia kulala na watoto yeye alikuja saa 11 usiku so sikumfungulia mlango kwa hasira alilala nnje alfajiri kumfungulia akaingia kwa matusi naomba ninukuu>>>hivi unathubutu kunifungia nnje mimi ninavyokubeba hapa mjini niende kutafuta nije wewe ule ..unajua hata ni wapi natoa hizo pesa unazo kula?unafikiri hata leo nisipoleta hata kumi utakaa mjini wewe?ngoja sasa kesho naondoka nakuachia hili linyumba na watoto wako mtajua mtakulanini,,,so kwakweli niliumia mno na kwahasira nilimpiga sana kwasiku hiyo alishindwa hata kwenda kazini...ilipofika usiku akenda kulala kwa chumba cha watoto lakini alisahau cm yake chumbani kwangu bass nikaanza kupitia msg nikaona alikua anachat na dada yake mkubwa ..dada yake anampa maelekezo kua amchukue mtoto mmoja ahame hapo kwangu kuna chumba sehem amempatia ,,so nikapata akili haraka haraka kua huyu wife akinitelekezea hawa watoto na mimi sina kazi itakua matatizo zaidi so nikapata wazo bora mimi niondoke hapo nyumbani niende popote pale kuokoa hili jaazi, so alfajiri sana nilidamka nikakamata basi nikaja dar sasa nina mwezi wa 2 huku dar ,,,wiki iliyopita ameanza kunipigia cm ananiomba nirudi nyumbani maana hawezi kukaa mwenyewe na watoto anaogopa pia anadai kua watoto wanamsumbua kumuuliza baba yuko wapi???NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE?? NIRUDI ARUSHA AU NIKOMAE KWANZA DAR NITAFUTE MAISHA?
Aisee pole umenifunza mengi... Kwamba ktk maisha wakati wewe unacheka kuna wengine wanalia...

Kwakweli sijawahi kabiliana na kadhia yoyote kiasi cha kunifanya nione dunia tambarare.... Thanks again umenirudisha kwenye fikra MPYA....

Pole sana kwa uliyopitia but usikate tamaa...

Ushauri wangu komaa kwanza upate hiyo kazi sio mbaya pia ukituambia elimu na fani yako tunaweza kukusaidia coz wengine tuna muda mrefu hapa mjini so vichochoro tunavijua vingi....

Kila la kheri na Mungu akupe Faraja......
 
Pole sana, maana mke wako anataka kukugeuza wewe kaka kuwa anaenda kuliwa nje k yake, anapewa pesa ili wewe na watoto mle. Na anaona ana hali ya kufanya hivyo eti kisa huna kazi. Amekufanya na wewe ni mwenyeji wa bumbuli.

Imeandikwa, mtu hatomwacha mke wake isipokuwa kwa uzinzi. Lkn ushahidi wa yeye kuzini huna japo mazingira yanaonesha anachepuka sana, na siku uliyomdunda aliliwa k yake hadi ikachacha.

Hivi hiyo 11 ni saa tano usiku au ni saa kumi na moja adhuhuri? Vyovyote iwavyo, hakuna utetezi wa kurudi either of the two times. Ni dharau na anakoelekea ni kukuletea maradhi ndani kwa kisingizio anatafta ili ule uende chooni.

Ushauri sasa.
Mweleze wazi kabisa kuwa unashindwa kurudi nyumbani kwa sababu ya kauli yake na matendo dhidi yako. Mwambie nyumba hiyo ni ya watoto wake uliozaa naye. Mwambie unaendelea kutafta ili watoto wapate mahitaji yao inavyostahili. Mwambie utakuwa na regular visit kusalimia watoto na utalala nyumbani mara kadhaa lkn mahusiano ya ndoa usimpe nafasi kabisa, ila usimwambie kuwa utamnyima kumpa utamzi wako. Mwambie kuchapiwa ni siri ya ndani lkn kwa mwanamme ni mateso kuliko yote ayapatayo kwa kufanyiwa lolote. Mwambie unahitaji kuheshimiwa no matter what.... Mwisho maamuzi yako yatawale hisia zako mkuu

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Aisee pole umenifunza mengi... Kwamba ktk maisha wakati wewe unacheka kuna wengine wanalia...

Kwakweli sijawahi kabiliana na kadhia yoyote kiasi cha kunifanya nione dunia tambarare.... Thanks again umenirudisha kwenye fikra MPYA....

Pole sana kwa uliyopitia but usikate tamaa...

Ushauri wangu komaa kwanza upate hiyo kazi sio mbaya pia ukituambia elimu na fani yako tunaweza kukusaidia coz wengine tuna muda mrefu hapa mjini so vichochoro tunavijua vingi....

Kila la kheri na Mungu akupe Faraja......


mzee hata mimi sikuwahi jua yatakuja nikuta ya namna hii nimepigwa na maisha mungu ndio anajua ..mimi ni dereva nina class c 1
 
Pole sana, maana mke wako anataka kukugeuza wewe kaka kuwa anaenda kuliwa nje k yake, anapewa pesa ili wewe na watoto mle. Na anaona ana hali ya kufanya hivyo eti kisa huna kazi. Amekufanya na wewe ni mwenyeji wa bumbuli.

Imeandikwa, mtu hatomwacha mke wake isipokuwa kwa uzinzi. Lkn ushahidi wa yeye kuzini huna japo mazingira yanaonesha anachepuka sana, na siku uliyomdunda aliliwa k yake hadi ikachacha.

Hivi hiyo 11 ni saa tano usiku au ni saa kumi na moja adhuhuri? Vyovyote iwavyo, hakuna utetezi wa kurudi either of the two times. Ni dharau na anakoelekea ni kukuletea maradhi ndani kwa kisingizio anatafta ili ule uende chooni.

Ushauri sasa.
Mweleze wazi kabisa kuwa unashindwa kurudi nyumbani kwa sababu ya kauli yake na matendo dhidi yako. Mwambie nyumba hiyo ni ya watoto wake uliozaa naye. Mwambie unaendelea kutafta ili watoto wapate mahitaji yao inavyostahili. Mwambie utakuwa na regular visit kusalimia watoto na utalala nyumbani mara kadhaa lkn mahusiano ya ndoa usimpe nafasi kabisa, ila usimwambie kuwa utamnyima kumpa utamzi wako. Mwambie kuchapiwa ni siri ya ndani lkn kwa mwanamme ni mateso kuliko yote ayapatayo kwa kufanyiwa lolote. Mwambie unahitaji kuheshimiwa no matter what.... Mwisho maamuzi yako yatawale hisia zako mkuu

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app


thanks mkuu ushahidi wa yeye kuliwa sina kwakweli ila ni vitimbi tu na vituko
 
Lipi unaloamini?

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app


unamaanisha nini KUAMINI what?? mimi sijaomba ushauri wa kusalitiwa japo alikua anachelewa kurudi lakini sina kesi nae ya uaminifu wa ndoa.....
 
unamaanisha nini KUAMINI what?? mimi sijaomba ushauri wa kusalitiwa japo alikua anachelewa kurudi lakini sina kesi nae ya uaminifu wa ndoa.....
Ok. Ok nimekuelewa. Rudi kalee familia na mkeo

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Hi Brothesr and sistesr kwanza kabisa napenda kuwashukuru sana members wote humu maana mmenisaidia mengi sana kama miaka 2 iliyopita niliomba ushauri humu mkanisaidia ndoa yangu ilikua inakwenda kwa maji.so nimerudi tena>>mimi ni mwanaume na nina mke na watoto3 kwangu ni Arusha nimeshajenga nakaa kwangu, mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini na mimi ninafanya kazi sector binafsi nimeanza kuishi na mke wangu toka 2004 >2016=12 tuliishi kwa furaha amani na upendo. mwaka 2014 nilisimamishwa kazi kwamatatizo flani flani ya kikazi so mwaka 2014>>2015 woote nilikua nyumbani namaanisha sikubahatisha kazi kabisa nilizunguka kila kona ya arusha lakini wapi hadi nikahisi nimetupiwa mkosi,2015>mke wangu akaanza kubadilika akawa mtu wa hasira kitu kidogo tu ataongea usiku kucha bas kuna vitu flani flani haki za mme nikawa sipewi tena kisingizio eti kachoka mfano kama kufua nguo zangu chakula cha usiku na mengine kama hayo ,tunaweza kaa siku tatu hatuongei kanuna lakini the same time akipigiwa cm na marafiki zake anaongea kwa vicheko akikata tu cm anavaa sura ya kazi.au nikiwa sipo anakua na furaha kweli lakini nikiingia tu nyumbani ananuna anakwenda na kulala kabisa ,so hali hiyo imenifanya mimi niwe na mawazo mno imepelekea hata kudhoofu mwili nimekonda mno ,mwanzoni mwa mwaka huu 2016 alinifanyia kituko ndicho kilichonipelekea mimi kuja kuomba ushauri humu tar 20/1/2016 alichelewa kuja home isivyokawaida yake na kila nilipompigia cm yangu alikua hapokei ..nilifunga milango tukaingia kulala na watoto yeye alikuja saa 11 usiku so sikumfungulia mlango kwa hasira alilala nnje alfajiri kumfungulia akaingia kwa matusi naomba ninukuu>>>hivi unathubutu kunifungia nnje mimi ninavyokubeba hapa mjini niende kutafuta nije wewe ule ..unajua hata ni wapi natoa hizo pesa unazo kula?unafikiri hata leo nisipoleta hata kumi utakaa mjini wewe?ngoja sasa kesho naondoka nakuachia hili linyumba na watoto wako mtajua mtakulanini,,,so kwakweli niliumia mno na kwahasira nilimpiga sana kwasiku hiyo alishindwa hata kwenda kazini...ilipofika usiku akenda kulala kwa chumba cha watoto lakini alisahau cm yake chumbani kwangu bass nikaanza kupitia msg nikaona alikua anachat na dada yake mkubwa ..dada yake anampa maelekezo kua amchukue mtoto mmoja ahame hapo kwangu kuna chumba sehem amempatia ,,so nikapata akili haraka haraka kua huyu wife akinitelekezea hawa watoto na mimi sina kazi itakua matatizo zaidi so nikapata wazo bora mimi niondoke hapo nyumbani niende popote pale kuokoa hili jaazi, so alfajiri sana nilidamka nikakamata basi nikaja dar sasa nina mwezi wa 2 huku dar ,,,wiki iliyopita ameanza kunipigia cm ananiomba nirudi nyumbani maana hawezi kukaa mwenyewe na watoto anaogopa pia anadai kua watoto wanamsumbua kumuuliza baba yuko wapi???NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE?? NIRUDI ARUSHA AU NIKOMAE KWANZA DAR NITAFUTE MAISHA?
Mi naona hujafanya vyema kuikimbia familia japo mkeo pia kafanya makosa .ww ni mwanaume Unatakiwa ugangamale kama wewe ni dereva umekosa hata haice hapa arusha ukaendesha kwa muda au tax wakat unaendelea kutafuta kazi nyingine? VIP huko Dar unaishi kwa nani au unaishije wakati hauna kazi . Cha kufanya ungesubir huyo mwanamke Aondoke na huyo mtoto mmoja na wewe ungetafuta mpangaji upangishe hiyo nyumba yenu na ww ukapange na huyo mtoto mwingine huku ukiendelea Kula kodi taratibu . Ushaur wangu tafuta kaz au hata biashara ya kufanya ila usimuache mkeo kaa Dar mpaka cku mkeo atakapojua umuhimu wako ndo urudi home pia fanya maombi Mungu ni mwema atakuonesha njia .
 
Mi naona hujafanya vyema kuikimbia familia japo mkeo pia kafanya makosa .ww ni mwanaume Unatakiwa ugangamale kama wewe ni dereva umekosa hata haice hapa arusha ukaendesha kwa muda au tax wakat unaendelea kutafuta kazi nyingine? VIP huko Dar unaishi kwa nani au unaishije wakati hauna kazi . Cha kufanya ungesubir huyo mwanamke Aondoke na huyo mtoto mmoja na wewe ungetafuta mpangaji upangishe hiyo nyumba yenu na ww ukapange na huyo mtoto mwingine huku ukiendelea Kula kodi taratibu . Ushaur wangu tafuta kaz au hata biashara ya kufanya ila usimuache mkeo kaa Dar mpaka cku mkeo atakapojua umuhimu wako ndo urudi home pia fanya maombi Mungu ni mwema atakuonesha njia .

yah thanks nyumba kupangisha then mimi nikapange tena ilikua ni ngumu ....maana hiyo nyumba ni kubwa na haijaisha so mtu sio rahisi apangishe
 
yah thanks nyumba kupangisha then mimi nikapange tena ilikua ni ngumu ....maana hiyo nyumba ni kubwa na haijaisha so mtu sio rahisi apangishe
Ok Dar unaishi VIP wakati hauna kazi . Wewe ni Kabila gani samahan kwa kukuuliza ila ningependa kujua Kabila lako
 
Back
Top Bottom