kukukakara
JF-Expert Member
- Jul 31, 2012
- 496
- 164
huwexi kuzuia mafuriko kwa mkono.
Dr Slaa
huwexi kuzuia mafuriko kwa mkono.
Hata mwaka 2010 Mzee Slaa aliibuka kidedea hapa JF lakini kwenye uchaguzi halisi akaangukia pua. Kura za mitandaoni sio za kutegemea sana, mtu mmoja anaweza kupiga kura zaidi ya mara moja, Pia wote tunafahamu huu mtandao wa JF umesheheni wanazi wa CHADEMA.
Mbona wa cuf hawapo hii inaubaguzi kiaina..