Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Mic u my kasie
Aawwww, miss you too Melkiory.
Mic u my kasie
Pamoja sana zakuadimika??Aawwww, miss you too Melkiory.
Pamoja sana zakuadimika??
Pamoja sana aisee kigagula wangu matata unayezeeka huku ukiwa kama binti under 20Nzurii nipoo nimejaa tele.
Pamoja sana aisee kigagula wangu matata unayezeeka huku ukiwa kama binti under 20
la wakubwa wewe bado mtoto, subiri ukikua mkuuSawa. Ahsante kwa taarifa.
Mtukumbuke na sie tusio na access ktk jukwaa la Dini na lile la wakubwa.
Bado nadadisi hayo maboreshoUbuyu umerudi, kazi kwenu kumung'unya.
Maxence Melo mbona kurudi katika majukwaa kunanishinda?Hivi bado kuna watu wanatumia Windows Phones? Tutalifikiria hili; takwimu zinaonesha wanaotumia windows hapa JF ni 3% kwa sasa
Nichukue fursa hii kuwashukuru wote kwa uvumilivu.
Tunaomba radhi kwa kupitisha muda, posts za JF ni nyingi na hatua ya kuzipitia upya ilikuwa ndefu.
Kwa sasa emojis zote ziko supported na mengine mengi.
Kuna vitu tunaendelea kuvirekebisha; ndani ya saa 48 zijazo mapendekezo yenu yatafanyiwa kazi.
Asante