JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

Mkuu kama itawezekana wekeni utaratibu wa PREDICTION kama unatumia App kama ilivyo kwenye browser.

Namaanisha kama unataka kumention mtu ukiweka tu alama ya @ na kuandika herufi kadhaa basi inakuletea prediction ya ID zenye herufi sawa na ulichotype.

Browser ina utaratibu huu unlike App so inakuwa kazi kumtag/mention mtu kwa app.

Shukran.

mbona hio tayari mkuu?
 
Mkuu umetupa PM tujimwage,

ila kuna watu wanamisuse hii opportunity,,,,

mie naona uweke option ya kudelete message,

tukimalizana huko PM,

tunafutaaaa baasi.

sio fatuma anataka kuolewa,mnafukua ma piem yake...its unfair

au,huko PM zinabaki for twenty four hours,halaafu mnazifuta
 
Kuna watu wanakera mkuu we acha tu. Yaani unasoma mtu alichoandika mpaka unatetemeka kwa hasira, unaona bora kama kungekuwa na kitufe cha dislike ubonyeze upite zako, manake hata kuandika haiwezekani.
 
Kwa upande vyeo vya jf boresheni kuna watu wanajiunga leo na leo hii anakua jf expert hii inaondoa maana

Sababu au kanuni ya kwamba mtu akichangia tu post mia tatu au tano anakua expert hata kama kachangia upupu na upopoma. Hii expert tuimaanishe

Mi napendekeza ili mtu awe expert ni lazima awe endorsed na majfexpert labda kwa kupewa like kadha ndio apande cheo au maplatinum member ndio awe expert.

Au wekeni viwango/ngazi nyingi hadi mtu anafikia uexpert basi imaanishe

Unakuta mtu kafungua id asubuhi kwa ajili ya kutukana au kukashifu lakini baadae ni Jf expert member

Lakini unakuta leo member saa sita ni sinior member halaf saa kumi ni expert badilisheni hili.

Boresheni hili
 
Mnaoomba kitufe cha dislike acheni roho mbaya,kama kitu hujakipenda pita kimyakimya.Sipati picha iwapo kitufe hicho kikiwekwa kule kwenye jukwaa la siasa.
 
Maxence Melo tunashukuru sana kwa mrejesho wa kinachoendelea na maboresho tarajiwa ya mtandao wetu wa JF.

Kama nimesoma na kuelewa vizuri hapo juu, maoni yalikusanywa nje ya mtandao. Nashauri wakati mwingine siku za usoni, kama itapendeza, ushirikiswaji wa watumiaji upewe kipaumbele, ikiwezekana kampeni nzito ya kukusanya maoni ifanyike.

Ni hayo tu kwa sasa.
 
Mnaoomba kitufe cha dislike acheni roho mbaya,kama kitu hujakipenda pita kimyakimya.Sipati picha iwapo kitufe hicho kikiwekwa kule kwenye jukwaa la siasa.
Ndio freshi, mtoa mada au comment ajue mtazamo wa upande wa pili. Sio wanaomuunga mkono tu. Ila inapendeza ujue pia wanaokupinga. Amesema hataweka hiyo sababu ya point yako hapo.
 
Mkuu umetupa PM tujimwage,

ila kuna watu wanamisuse hii opportunity,,,,

mie naona uweke option ya kudelete message,

tukimalizana huko PM,

tunafutaaaa baasi.

sio fatuma anataka kuolewa,mnafukua ma piem yake...its unfair

au,huko PM zinabaki for twenty four hours,halaafu mnazifuta
hahahahaha mabaki sio unaogopa yasifunuliwe..Jf raha sana nimecheka sana hapo.
 
Ndio freshi, mtoa mada au comment ajue mtazamo wa upande wa pili. Sio wanaomuunga mkono tu. Ila inapendeza ujue pia wanaokupinga. Amesema hataweka hiyo sababu ya point yako hapo.
Asante mkuu nimekuelewa utakuwa uwamuzi mzuri sana
 
hongereni sana kwa hayo marekebisho na maboresho ila msisahau kuweka box la comment limekuwa ndogo sana
 
Back
Top Bottom