ili iweje??? we huna nia njema mkuuMuda (saa na tarehe) ambao mtu anacomment ingependeza viwepo.
Kujua aliyecomment kacomment lini au saa ngapi, inaongeza au kupunguza urgency ya uchangiaji ukiujua muda. Mwanzoni ilikuwapo sasa hivi siioni.ili iweje??? we huna nia njema mkuu
Muda (saa na tarehe) ambao mtu anacomment ingependeza viwepo.
Natumia browser ktk simu na nimeandika hivyo baada ya kuona tofauti na ilivyokuwa awali. Kwa mfano hii comment yako haionyeshi umeicomment lini na saa ngapi. Thread inaonyesha imepostiwa lini ila comment hazionyeshi.Mbona upo ila siku zikipita inakuwa tarehe au unataka zionekane mida ili iweje?
Ukiingia ukiwa kwa desktop site view ukibonyeza tarehe huwa inaonyesha muda..hata kama post ni ya enzi hizooooo
Inakuaje kwani?Write your reply...kwa njia ya browser imekuwa nzuri sana.
Hongereni sana mafundi
Ina mwonekano mzuri alafu pia kuna hadi option ya kuedit comment au kufuta kabisaInakuaje kwani?
Kwani zamani ulikuwa huwezi Ku edit na kufuta comment?Ina mwonekano mzuri alafu pia kuna hadi option ya kuedit comment au kufuta kabisa