Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,184
Umechangia nini sasa mama kasie?
Mahaba...
Like zake 2 = busu la shingo...
Mapenzi mwanzo mwisho = Kasie.
Kasie = Mahaba mia mia.
Umechangia nini sasa mama kasie?
Thank you.!!Wakuu,
Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.
Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.
JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.
Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.
Asante
Pole ungenitext whatsapp niwe naku update yanayojiriHongereni kwa maboresho japo mlinipiga ban jana bila kunijulisha, nililia sana jamani, Na Mungu anawaona
Mbn youtube kipoHawawezi wakaweka kitufe cha dislike,kwa maoni yangu mimi hapa ni vyema wakafuata nyao za mitandao ya kijamii iliyofanikiwa zaidi duniani kama vile facebook ambao hawana kitufe cha dislike!!
Msisahau kitufe cha dislike.
Mkuu naomba usisaau kurahisisha editing kwenye kuandika comment.mf.kupigia mstar,color na bolding au italic

Ah ah ah ah kazi kwel kwelMsisahau kitufe cha dislike.
Mkuu nadhani ulikua na shida kama yangu kwani ilikua Niki install app ya jf nikitaka sasa ku log in ikawa inazingua (kama tatizo ni hilo )Angalau mmesikia kilio chetu maana huwa nashindwa kabisa kulog in kwa kutumia simu yangu