Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,003
From Fikra Pevu - Political Paranoia? Tanzania's Ruling Party threatens online social media | Fikra Pevu | Kisima cha busara!
The above (LINK) is the statement issued earlier today by JamiiForums - the most prominent Tanzanian online social gathering. The popular political forum played a crucial role in a lead up to the General Elections in October 2010 by being the most authoritative source of politica news, discussion and debate. However, few days ago JamiiForums came under a well calculated and targeted attack by the ruling party - Chama cha Mapinduzi - which accused the forum for being "anti-CCM" and "anti-government".
The statement was distributed to a variety of media outlets in the country and abroad as well as to a number of interested parties.
NIPASHE:
The above (LINK) is the statement issued earlier today by JamiiForums - the most prominent Tanzanian online social gathering. The popular political forum played a crucial role in a lead up to the General Elections in October 2010 by being the most authoritative source of politica news, discussion and debate. However, few days ago JamiiForums came under a well calculated and targeted attack by the ruling party - Chama cha Mapinduzi - which accused the forum for being "anti-CCM" and "anti-government".
The statement was distributed to a variety of media outlets in the country and abroad as well as to a number of interested parties.
NIPASHE:
Mtandao wa Kijamii wa Jamii Forums, umekanusha madai yaliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Pius Msekwa, kuwa umeanzishwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kwamba unatumiwa na chama hicho katika harakati zake za kisiasa hapa nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jamii Forums, unafanya kazi kwa kujitegemea na kwamba haumilikiwi na chama chochote cha kisiasa wala kufadhiliwa na Chadema kama alivyodai Msekwa.
Taarifa hiyo ilisema Msekwa alitoa madai hayo wiki iliyopita wakati akitambulisha Sekretarieti mpya ya CCM mjini Dodoma ambapo alitumia muda wake kushutumu mtandao huo.
Mtandao huo ulisema kwa sasa una wanachama 40,000 waliojiandikisha na kwamba unafanya kazi kama chanzo huru cha habari bila kutumiwa na mtu wala chama chochote cha siasa.
Shutuma hizo za Msekwa zilitolewa Aprili 14, mwaka huu mjini Dodoma ambapo pia mwanasiasa huyo alisema mtandao huo ulichangia kukikosesha kura CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Taarifa hiyo iliongeza kwamba shutuma zinazotolewa dhidi yao kwamba unatumika kuivuruga CCM na serikali yake sio za kweli na kwamba zinalenga kuukwamisha mtandao huo katika harakati zake za kuielimisha jamii na kuipasha habari.
Mtandao huo ulisema CCM inauandama kutokana na wao kuwa mstari wa mbele katika kupiga vita vitendo vya rushwa ambavyo hivi karibuni vimekichafua chama hicho na serikali yake.
Shutuma hizo zimewasababishia usumbufu kutoka kwa wanachama wao walioenea kona zote za nchi na nje ya nchi na kwamba hatua hiyo ya CCM ni ishara kuwa kimeanza kuuogopa mtandao huo.