JamiiForums inaniathiri

JamiiForums inaniathiri

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Inanipa sana wakati mgumu,
Hasa nje ya mtandao huu

Huko kwenye Whatsapp group Naona watu wanachart wanaongea pumba tu.

Hawana fact Wala logic, nishazoea huku watu wanaongea kwa fact.

Hali inayopelekea kugombana na baadhi ya watu kwa sababu hawana mawazo yenye akili.

Issue ingine nakuwa free na dare tu talk openly nasahau wengi wao ni machawa wa sisiemu
 
“Jamii forum inaniathiri”

Ulitaka kumaanisha “Haikuathiri” au maana heading na habari ni tofauti inaonekana wewe kinachokuathiri ni huko W'app groups etc siyo Jamiiforums.
 
Upo emotionally weak ndio maana waingia magomvi kwa sababu zinazoepukika. By the way Jf ya sasa ipo kawaida tu
 
😂 😂 😂 😂 Mm mpaka washkaji wanasemaga mm mjuaji sana
 
Inanipa sana wakati mgumu,
Hasa nje ya mtandao huu

Huko kwenye Whatsapp group Naona watu wanachart wanaongea pumba tu.

Hawana fact Wala logic, nishazoea huku watu wanaongea kwa fact.

Hali inayopelekea kugombana na baadhi ya watu kwa sababu hawana mawazo yenye akili.

Issue ingine nakuwa free na dare tu talk openly nasahau wengi wao ni machawa wa sisiemu
Mkuu unakaribia kuchanganyikiwa.
 
Inanipa sana wakati mgumu,
Hasa nje ya mtandao huu

Huko kwenye Whatsapp group Naona watu wanachart wanaongea pumba tu.

Hawana fact Wala logic, nishazoea huku watu wanaongea kwa fact.

Hali inayopelekea kugombana na baadhi ya watu kwa sababu hawana mawazo yenye akili.

Issue ingine nakuwa free na dare tu talk openly nasahau wengi wao ni machawa wa sisiemu
Chai
 
Back
Top Bottom