Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
Inanipa sana wakati mgumu,
Hasa nje ya mtandao huu
Huko kwenye Whatsapp group Naona watu wanachart wanaongea pumba tu.
Hawana fact Wala logic, nishazoea huku watu wanaongea kwa fact.
Hali inayopelekea kugombana na baadhi ya watu kwa sababu hawana mawazo yenye akili.
Issue ingine nakuwa free na dare tu talk openly nasahau wengi wao ni machawa wa sisiemu
Hasa nje ya mtandao huu
Huko kwenye Whatsapp group Naona watu wanachart wanaongea pumba tu.
Hawana fact Wala logic, nishazoea huku watu wanaongea kwa fact.
Hali inayopelekea kugombana na baadhi ya watu kwa sababu hawana mawazo yenye akili.
Issue ingine nakuwa free na dare tu talk openly nasahau wengi wao ni machawa wa sisiemu