mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
kwani km Wazanzibar hawautak mungano ya ni kuwalazimisha c wachwe tu na nyinyi wamrima mudai tanganyika yenu muache kutawaliwa na mawazo ya kinyererenyerere .
hizi tetesi za siku hizi, kweli balaa. KIFUPI SIJAONA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TITLE, TETESI NA CONTENT....kwani km Wazanzibar hawautak mungano ya ni kuwalazimisha c wachwe tu na nyinyi wamrima mudai tanganyika yenu muache kutawaliwa na mawazo ya kinyererenyerere .
kwani km Wazanzibar hawautak mungano ya ni kuwalazimisha c wachwe tu na nyinyi wamrima mudai tanganyika yenu muache kutawaliwa na mawazo ya kinyererenyerere .
Mkubwa unajuwa ni nini? sI KILA AENDAYE DODOMA ANAENDA BUNGENI... Wengine wanaenda Milembe....Hiki nini?Najuta kufungua huu uzi kwa kweli
si viroba tu, hadi magunia yapo... Usione wanajifanya hawataki kudhaminiwa na kampuni ya bia kwenye ligi yao, wanakata 'mayii' ka wendawazimu na matokeo yake ndo hayaKumbe hata zenji kuna viroba