Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 882
- 1,908
Muziki ni Utanzu wa Sanaa unaotumia sauti ambazo hugusa Hisia za Watu.
Dhima ya Muziki ni Kuburudisha, Kuonya, Kuelimisha na Huleta Tumaini.
Miye nikiwa na miaka 6,7,8 nilikuzwa na miziki mfano Starehe FEROOZ, Nikusaidieje Prof Jay , Yah Karim Ali kiba . nyimbo hizo zilinifanya kuwa Mtu makini na mwenye kufanya maamuzi sahihi pia nimekuwa Mtu Bora katika Jamii yangu.
Tofauti na jamii za Leo ambazo zimegubikwa na Nyimbo zihamasishazo ngono mf. Kibamia , Kwangwaru na zisizokuwa na Maana yoyote zaidi ya kuburudika( shit songs) Jibebe n.k. Unadhani Hawa waliokuwa katika nyakati hizi za Jibebe ,Kwangwaru n.k wanaweza kufukia hata robo ya uwezo wangu wa Fikra miye niliyekuzwa na Mkuki Moyoni Heshima Mtazamo Afande sele,, Tamaa mbaya , Jipange blad key, Elimu Dunia. (Jibu) Hapana
Muziki si kwa ajili ya kuburudisha tu bali Huleta Faraja kwa Walio na Upweke, Huleta tumaini kwa walio kata tamaa. Lazima muziki umjenge mtu kiakili , Kiroho, Kimwili ili aweze kukabiliana na changamoto mbalimbali
Ikumbukwe Fasihi ni Chombo cha Kufundishia Jamii, kama Jamii zetu zinafundishwa ngono na Kuisifia unadhani jamii gani tunaijenga zaidi ya Mabwabwa wazinifu na Vipofu wa Upeo. Mtu huishi katika yale ambayo huyaona na Kuyasikia kila siku kwani Tabia hujengwa na Matendo yetu ya kila siku ambayo ni Mazoea. Hivyo jukumu la kukemea na Kuikomboa Jamii ni letu Sote.kama jamii yetu ikiangamia mimi na wewe tutakuwa tumehusika..
Dhima ya Muziki ni Kuburudisha, Kuonya, Kuelimisha na Huleta Tumaini.
Miye nikiwa na miaka 6,7,8 nilikuzwa na miziki mfano Starehe FEROOZ, Nikusaidieje Prof Jay , Yah Karim Ali kiba . nyimbo hizo zilinifanya kuwa Mtu makini na mwenye kufanya maamuzi sahihi pia nimekuwa Mtu Bora katika Jamii yangu.
Tofauti na jamii za Leo ambazo zimegubikwa na Nyimbo zihamasishazo ngono mf. Kibamia , Kwangwaru na zisizokuwa na Maana yoyote zaidi ya kuburudika( shit songs) Jibebe n.k. Unadhani Hawa waliokuwa katika nyakati hizi za Jibebe ,Kwangwaru n.k wanaweza kufukia hata robo ya uwezo wangu wa Fikra miye niliyekuzwa na Mkuki Moyoni Heshima Mtazamo Afande sele,, Tamaa mbaya , Jipange blad key, Elimu Dunia. (Jibu) Hapana
Muziki si kwa ajili ya kuburudisha tu bali Huleta Faraja kwa Walio na Upweke, Huleta tumaini kwa walio kata tamaa. Lazima muziki umjenge mtu kiakili , Kiroho, Kimwili ili aweze kukabiliana na changamoto mbalimbali
Ikumbukwe Fasihi ni Chombo cha Kufundishia Jamii, kama Jamii zetu zinafundishwa ngono na Kuisifia unadhani jamii gani tunaijenga zaidi ya Mabwabwa wazinifu na Vipofu wa Upeo. Mtu huishi katika yale ambayo huyaona na Kuyasikia kila siku kwani Tabia hujengwa na Matendo yetu ya kila siku ambayo ni Mazoea. Hivyo jukumu la kukemea na Kuikomboa Jamii ni letu Sote.kama jamii yetu ikiangamia mimi na wewe tutakuwa tumehusika..