Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Tumeona mada nyingi ambazo watu wakieleza au kupitia kuhusu jinsi maisha ya utafutaji kuwa ya mekwenda ndivyo sivyo,kukosa ajira,kushindwa kuoa au kuolewa n.k.
Hii bullying niliyotaja kwenye kichwa cha habari si rahisi miaka ya 90 kushuka kukutana nayo ila kwa sasa ndio inazidi kukuwa kama ugonjwa wa saratani.
Mfano swala la maisha usipofikia malengo au ulipoishia uwezo wako ndio unakutana kazia hii ambayo uwezi kuitambua kwa kuelezwa na anayekufanyia ila utaiona kwa yeye jinsi alivyo.
Kuna uzi hapa angalia mama mzazi anasema bora angekufa mwanaye huyu choka mbaya kuliko wa ulaya ambaye ndio msaada.
Hii bullying niliyotaja kwenye kichwa cha habari si rahisi miaka ya 90 kushuka kukutana nayo ila kwa sasa ndio inazidi kukuwa kama ugonjwa wa saratani.
Mfano swala la maisha usipofikia malengo au ulipoishia uwezo wako ndio unakutana kazia hii ambayo uwezi kuitambua kwa kuelezwa na anayekufanyia ila utaiona kwa yeye jinsi alivyo.
Kuna uzi hapa angalia mama mzazi anasema bora angekufa mwanaye huyu choka mbaya kuliko wa ulaya ambaye ndio msaada.