DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,977
- 45,473
Wakuu mimi hapa nimekaa Mtaani Almost Two years lakin that time nilikuwa Chuo naongeza Maarifa ya kitu flan. Sasa Mimi hapa Kama kijana nimeamua kumtanguliza Mungu na kujituma katika Maisha yangu. Maaajabu nimeanza kuchukiwa na Familiya yangu .
Lakini yote hayo Ni kwasababu nimeanza kumjali Sana mzee wangu (Farther) Hivi nyie ndugu Mbona mnaroho Mbaya hamtaki nimjali mzee wangu kisa nini. So nilichogundua watu wakikusikia umeanza kujitambua na kumjali Mzazi wako Basi lazima wakuponde yaani wanaumia kuona namjali Father .
So Angalizo Mimi Ni last born lakini ntahakikisha namtumza mzee wangu Mwanzo mwisho japo ndugu hawataki wanatamani kumuona mzee wangu anateseka. Mzee wangu pia Alipata ajari 2020 Mimi ndo nilimuuguza pale MoI mwanzo mwisho so na ndugu zangu hawakutoa msaada wowote
Mambo Ni mengi lakini Mimi ntapambana na Mzee wangu mpaka Pumzi ya Mwisho.
Lakini yote hayo Ni kwasababu nimeanza kumjali Sana mzee wangu (Farther) Hivi nyie ndugu Mbona mnaroho Mbaya hamtaki nimjali mzee wangu kisa nini. So nilichogundua watu wakikusikia umeanza kujitambua na kumjali Mzazi wako Basi lazima wakuponde yaani wanaumia kuona namjali Father .
So Angalizo Mimi Ni last born lakini ntahakikisha namtumza mzee wangu Mwanzo mwisho japo ndugu hawataki wanatamani kumuona mzee wangu anateseka. Mzee wangu pia Alipata ajari 2020 Mimi ndo nilimuuguza pale MoI mwanzo mwisho so na ndugu zangu hawakutoa msaada wowote
Mambo Ni mengi lakini Mimi ntapambana na Mzee wangu mpaka Pumzi ya Mwisho.