JAMII INA WATU WENYE STRESS SANA

JAMII INA WATU WENYE STRESS SANA

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
1,511
Reaction score
2,998
Habari wadau .Moja kwa moja kwenye mada miaka ya hivi karibuni tumeona kundi kubwa la wachekeshaji wa mitandaoni inaonekana Watanzania wengi wanastres sana hadi kufikia hatua ya kununua furaha.

Yani watu wanalipia hela kwenda kucheka .Enyi watawala punguzeni kubana watu wanastress sana.

Kibaya zaidi baadhi ya wanaojiita wachekeshaji hawanavipaji wanalazimisha tu.
 
OFCOURSE FURAHA IMESHUKA KWA KASI, SIO BONGO TU HATA MAJUU

ILA KUSEMA WATU WANAENDA KULE KUNUNUA FURAHA HIO NI FALSE, KAMA NI HIVYO TUNGEONA KUNDI KUBWA LA WATU WAKIKIMBILIA KWENYE MAONESHO YALE

PALE WATU WANAENDA FOR LEISURE AND FUN
 
Kuna watu wanalipa hela kwenye vichekesho halafu wanajikaza wasicheke....SI upotevu wa hela huo
 
Ona
1743932066133.jpeg
 
Hamna, wachekeshaji wanatengeneza careers.

Hawawezi kufanya kazi bure.

Ile ni taaluma kabisa, tuchukulie vitu serious.

Hatakama hujawahi kununua tiketi, unalipa kwa muda wako. Unavyoangalia video zao kwenye kurasa za mitandaoni unaoneshwa matangazo.
 
Back
Top Bottom