MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Nilikuwa nje ya mitandao hasa Jamii Forums kwa muda wiki nilipata wakati mgumu sana. Hapo awali sikujua kama Jamii Forums ni ugonjwa mbaya kiasi hiki.
Kila nilipojaribu kulala ndoto zilikiwa za Jamii Forums tu na kuwaza hivi Jingalao, Complicator, Mayalla, BAK na wengine watakuwa wamepost nini hasa wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
Nimeuona umuhimu wa mitandao ya kijami kwa siku hizo kumi kuwa nje ya mitandao.
Jamii Forums ni kama Oxygen kwenye maisha yetu ya kizazi hiki.
Muda mwingi unawashwawashwa kujua Magufuli na Lissu wako mkoa gani na wameongea nini.
Mungu awabariki sana wanzilishi wa Jamii Forums.
Kila nilipojaribu kulala ndoto zilikiwa za Jamii Forums tu na kuwaza hivi Jingalao, Complicator, Mayalla, BAK na wengine watakuwa wamepost nini hasa wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
Nimeuona umuhimu wa mitandao ya kijami kwa siku hizo kumi kuwa nje ya mitandao.
Jamii Forums ni kama Oxygen kwenye maisha yetu ya kizazi hiki.
Muda mwingi unawashwawashwa kujua Magufuli na Lissu wako mkoa gani na wameongea nini.
Mungu awabariki sana wanzilishi wa Jamii Forums.