Jamhuri kiwelo mbona hujiamini.....! Unatutia mashaka

gango2

JF-Expert Member
Aug 31, 2011
1,941
2,251
Huyu jamaa toka ametangazwa kuiongoza kilimanjaro starz naona anakosa kujiamini kabisa

kila kukicha anakimbilia vyombo vya habari mara kunakushindwa mara, tukishindwa msilaumu tumelilia timu mara ooooh.....

kwakweli hili limeanza kututia mashaka sana sie
 
Huyu jamaa toka ametangazwa kuiongoza kilimanjaro starz naona anakosa kujiamini kabisa

kila kukicha anakimbilia vyombo vya habari mara kunakushindwa mara, tukishindwa msilaumu tumelilia timu mara ooooh.....

kwakweli hili limeanza kututia mashaka sana sie
Pia inaonekana ameshaiteka kabisa Kili Stars,maana Mkwasa hata hatumsikii.
 
Pia inaonekana ameshaiteka kabisa Kili Stars,maana Mkwasa hata hatumsikii.​
  • Boniface.Mkwasa kocha mkuu..yuko safarini SA...Kuhusu Julio kuongea hiyo ni jadi yake...tena hapo mbona bado..ngoja ashinde mechi ndio utampenda Julio...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom