Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mbatia ni mchumia tumbo, ndo maana mahitimisho yake yote katika kesi anazofungua huwa ni kudai fidia ya mamilioni ya fedha. Kwa mengi ameula wa chuya, hapati hata senti kumi.
Hivi James Mbatia anatokea mkoa gani vile, Mara au?