Naamini wengine si watanzania. Anzeni kuhoji kinachoganywa na news of rwanda. Haiwezekani rais wetu na nchi yetu tutukanwe, halafu tukae kimya. Balozi wa rwanda kama kweli ni mkweli, alikemee gazeri lake kwanza. Press ya tanzania inachekwa sana kwa kutomshughulikia pk na wafuasi wake. Nawaunga mkono jambo leo.
Salaam sana Brother Jackton, baada ya salaam nipende tu kukuambia kuwa, kuwa mtanzania sio kushabikia propaganda za media zinazozidi kuleta tension miongoni mwa wananchi, tambua kuwa kuna kuwa mtanzania na kuwa mtanzania mzalendo, naamini kwa mzalendo yeyote hawezi kushabikia propaganda zozote za kivita endapo hakuna usalama wowote wa nchi unaotishiwa, kinachofanywa na Rais PK na baadhi ya media za Rwanda naweza kukiita kuwa ni hali ya mfa maji ambaye yuko tayari kushika chochote kwa matumaini ya kujiokoa, PK anakabiliwa na both internal and external conflicts ndani ya serikali yake hivyo majibizano kati ya media za Tanzania na Rwanda ni kupoteza muda tu. Naamini kwa watanzania wazalendo (citizens) endapo tuta-smell threats zozote toka serikali ya Kigali hatutasita kudeal na PK squarely. VIVA TANZANIA