Jamboleo na Kagame kuna nini?

Jamboleo na Kagame kuna nini?

Mbona hamuulizi gazeti la news of rwanda linavyomkashifu Mh Rais wetu na familia yake?
 
Mbona hamuulizi gazeti la news of rwanda linavyomkashifu Mh Rais wetu na familia yake?
Ikulu ilishatoa taarifa ya kukerwa na uandishi ule inatosha tuachane na hayo mambo tujenge nchi,JK hana tatizo na Rwanda wala sisi Watz hatuna tatizo na Rwanda ila vyombo vya habari vinataka kukuza tatizo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Unajua ndugu yangu watu kama akina juma pinto wanaendesha maisha yao kwa upambe
juma pinto alisha wahi kuwa mpambe wa kajumulo kama mnakumbuka na ndiye aliyempleka uk
hiyvo hata leo akiandika mambo ya kagame anamfurahisha boss wake riz one
 
GENTAMYCINE

Kuna wafanyakazi wa ubalozi wa Rwanda humu huwa wanaandika mambo yasiyo ya ukweli.

Humu JF .... labda kaifanyie hii kazi halafu uje kufafanua zaidi.
Nimesikia hii from very reliable sources.
 
Last edited by a moderator:
Hiki ni kipeperushi tu kamavile cha Mayowe na Tanzania Daima.
 
angalieni sana watanzania wenzenu kabisa mnaanza kutubagua na kutuita wanyarwanda kwa sababu tunaongea ukweli.dhambi ya ubaguzi itawatesa sana
 
We ---- kweli. Yaani gazeti tena la serikali limtukane na kumpakazia kiranja wetu...halafu kusiwe na chombo cha kujibu mapigo! Au wewe n i miongoni mwa mapandikizi ya kagame .
 
Ni gazeti la serikali dhaifu kama lilivyo Rwanda News linalomsifia Kagame hata akiwa hana nguo lenyewe linaona suti ya kisasa!
 
Masterlegendary na Kituru Nawashukuruni Kwa Kuliona Hilo Kwani Kwa Muda Mrefu Sana Nimekuwa Nikikemea Juu Ya Uandishi wa Gazeti hilo Pamoja na Haya Mawili Mtanzania na Jamhuri ila Nashukuru Yawezekana Ushauri Wangu Ulisaidia Kwani Siku Hizi Mtanzania na Jamhuri Hawaandiki tena Habari za Chuki na Kichochezi baina Yetu na Rwanda.
Yaani ulipoanza nilidhani una hoja za msingi lakini baadae nikagundua huna lolote!!

Yaani JK awe na chuki dhidi ya PK kwa lipi? Yaani mtu kumwambia akae na waasi wamalize vita kwa mazungumzo ni chuki? Na huyo Balozi wako inakuwaje asikitishwe na Media za Tanzania badala ya kwanza kusikitishwa na News of Rwanda inayomilikiwa na serikali ya Rwanda?

Hata kama ni kweli JamboLeo wanaandika sana choko choko za Rwanda; ungekuwa makini ungegundua mara zote ambao wanaanza ni News of Rwanda!! In short, hakuna mwenye chuki na Rwanda coz' nothing is worth in Rwanda cha kuwafanya watu wawe na chuki nayo!! Watu wanachukizwa na muuaji Kagame ambae unampaka mafuta wakati kila mtu anamfahamy PK ni mtu wa aina gani!

Rudia kusoma ulichoandika kisha fuatilia habari zinazochapishwa na News of Rwanda halafu ujitafakari ikiwa kweli wewe ni Mtanzania au ni Mtanzania unayetumika.
 
hata wewe umeandika kwa hisiahisia tu na unaonesha huna uzalendo na nchi yako, inamaana unafurahia sisi kuchafuliwa na magazeeti ya rwanda?

Sometimes DAWA YA MOTO NI MOTO NA SI MAJI kwa hiyo ulitaka magazeti yetu yaandike habari za kumsifia huyo kikongwe katili kagame?

SHAME ON U
 
My Take kama Mh Rais wetu katuma ujumbe kupitia kwa Mh Waziri Prof Mwandosya sioni kwa nini kuendelea na huu uchochezi wa magazeti. Jambo Leo na Mtanzania ni vema waonywe jamani choko choko hizo ndio hizaa vita chonde chonde.
Ulikiona ambacho kiliandikiwa na gazeti la serikali ya Rwanda; News of Rwanda wakati hao akina Mwandosya tayari wameshatumwa kwenda huko?!

Uliona jinsi ambavyo News of Rwanda lilipoandika kwamba kisa cha JK kupeleka majeshi Congo ilikuwa ni kwa ajili maslahi binafsi...kutetea biashara ya mke wake Salma na dada wa Kabila?

Uliona waliposema kiongozi pekee Tanzania ambae alim-support JK ni Membe peke yake kwavile Membe na JK ni mashemeji?!! Ya nini kuhangaika na private newspapers wakati Rwandan Government owned news paper ndiyo inayoongoza kwa kuandika upumbavu?

Hivi gazeti la serikali linapoandika kwamba JK katuma majeshi DRC kwa ajili ya kulinda biashara za mke wake habari hiyo ina maana gani kama si kutaka kumfitinisha Rais na wananchi anaowaongoza? Hivi assume wale Watanzania JWTZ waliouawa kule DRC mmoja wapo awe ni ndugu yako wa damu; kisha gazeti la serikali ya Rwanda likuambie ingawaje ndugu yako ameuawa, lakini alienda huko kulinda maslahi ya Salma Kikwete na shoga ake....will it sound good to you?!

Mbaya zaidi, gazeti liliandika habari hiyo wakati tayari akina Mwandosya ama wameshaingia nchini Rwanda au wakiwa njiani....
 
Kituru, Master Regendary na wengine wenye mitazamo kama yenu juu gazeti jambo leo inachokiandika juu ya kagame, hivi ni kisema ninyi ni watutsi tena wenye misimamo mikali ambao Dunia ya leo hiiwahitaji nitakuwa na waonea?.

Hivi badala ya kujenga hoja ili mtuonyeshe namna magazeti yetu yanavyo andika uongo juu ya kagame na serikali yake mnabaki mnatuletea hadithi za kagame ndani ya nchi yetu?.

Kwa kuwa mmekwisha anza kutumwa na kagame goja nasi tuwatume kwake mkamwambi,"Wa Tz tumechoka na chokochoko zake na watu wake!, tunampa muda ajirekebishe vinginevyo tumekusudia kumchapa bakora kwani si ndio TZ".
 
Kwani hakuna mtu mwingine wa kuongoza Rwanda kwa nini muaji PK aendelee kutamba na kuifanya east africa kuwa eneo hatari kwa democrasia mbona Uganda pametulia
 
Wewe sio mtanzania lakini ni kosa la uongozi wetu wa uhamiaji kuruhusu watu kama wewe kuingia nchini kinyemela
 
Hawa jamaa wanaoliponda gazet la JAMBOLEO watakuwa si watanzania bali wanyarwanda. Naomba OPERESHEN KIMBUNGA irudi haraka sana ili iondoe hii takataka iliyobaki.
 
Masterlegendary na Kituru Nawashukuruni Kwa Kuliona Hilo Kwani Kwa Muda Mrefu Sana Nimekuwa Nikikemea Juu Ya Uandishi wa Gazeti hilo Pamoja na Haya Mawili Mtanzania na Jamhuri ila Nashukuru Yawezekana Ushauri Wangu Ulisaidia Kwani Siku Hizi Mtanzania na Jamhuri Hawaandiki tena Habari za Chuki na Kichochezi baina Yetu na Rwanda.

Duh story ndefu. Tuwekee artcle 2 ambazo zimeandika na Jambo Leo na ni za kichochezi.

Magazeti ya Rwanda na kagame mwenyewe na mawaziri wake mara nyingi wamekuwa quoted wakisema maneno ya kifedhuli dhidi ya TZ leo unakuja hapa kutetea Rwanda.

Labda kama wewe ni katika wale mlokaribishwa miaka ileee sasa mnajifanya wa Tz kuliko wenyewe
 
Lazima utakuwa Mnyarwanda si bure. Pia ubongo wako ni mdogo kama Nyumbu wa Manyara
 
Ikulu ilishatoa taarifa ya kukerwa na uandishi ule inatosha tuachane na hayo mambo tujenge nchi,JK hana tatizo na Rwanda wala sisi Watz hatuna tatizo na Rwanda ila vyombo vya habari vinataka kukuza tatizo.
Ni kweli sisi hatuna tatizo na Rwanda, lakini huwezi kusema kuwa wao hawana tatizo na sisi. Uliona wapi Ubalozi wa rwanda hapa nchini ukikanusha hizo habari zilizoandikwa na gazeti la nchini kwao?

Na kama una ufahamu wa haya mambo, ni nani aliyeanza hizi chokochoko za kumbeza Rais wetu kama sio huyo huyo kagame unayejaribu kumtetea (if I can say so)?....

Tunamheshimu sana Rais wetu na tunaheshimu sana sovereignty yetu, na hakuna mtu atakayetuletea dharau na kebehi tukae kimya.

Anyway, I don't know why you sympathize with those tutsis, you may be a tutsi too!.... By the way, kuna vyombo husika ambavyo vinasimamia hayo magazeti na vinajua na kuona yanayoandikwa, hivyo ndio vina mamlaka ya kuhoji na kuamuru hizo habari zisiandikwe LAKINI SIO WEWE NA MIMI!
 
Back
Top Bottom