Nenda wasafi teyali washaweka video zao mbili alafu utupe mrejeshoNawakubali sana hawa jamaa nitawafuatilia youtube kama wasafi wataweka video zao
Nenda wasafi teyali washaweka video zao mbili alafu utupe mrejesho
Me sio mpenzi wa vipindi vingi Sana vya tv hiko sikijuiMkuu Kuna kile kipindi cha wanyabi kile kipo au ndo bas Tena?
Jana kanifurahisha sana maneno 10.
Anaambiwa huyu meja kuwa hajafa kazimia.. yeye anasema nazi 100 za nini shughuri yenyewe ndogo hii, nazi mbili zinatosha kuungia maharage... ndo pale akajibiwa sio nazi ila alizirai huyo meja kunta. Asi nilicheka sana asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini umeuliza hivyo?Kisa cha kuipeleka wasafi
Ubunifu. Kwa waliofatilia ze comedy kwanzia ikiwa EATV mpaka TBC watakua mashuhuda katika hiliKwanini?
Hii ramli kabisa.
Sawa tutaona
sema we mwana kama hauna undugu na manyau nyau mi sijui...Stay Tuned
Hakitakuwa kizuri na bora kama kilivyokua EATV.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndo uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo?sema we mwana kama hauna undugu na manyau nyau mi sijui...
Yule kazoa ni nomaSession ya cha uroho Kazoa huwa anafurahisha sana....popote ulipo Kazoa agiza sanitizer nakuja kulipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni akili zako finyu nimeangalia Jana mbona ni nzuri Sana.Ubunifu. Kwa waliofatilia ze comedy kwanzia ikiwa EATV mpaka TBC watakua mashuhuda katika hili
sema we mwana kama hauna undugu na manyau nyau mi sijui...
SawaHizo ni akili zako finyu nimeangalia Jana mbona ni nzuri Sana.
Hawa jamaa wa jambo na vijambo ni watu wakujipanga sana. Sio wanafanya vitu ili mradi waonekane kwenye TV, na ndio maana wakimaliza project moja wanakaa muda mrefu sana ndipo wanatoa project nyingine. Kukaa kwao muda mrefu bila kufanya kazi kunawaongezea kufikiria na kuendeleza ubunifu waliokuwa nao. Hawa ndio wasanii pekee wasio tumia nguvu nyingi kumfanya mtu achekeUbunifu. Kwa waliofatilia ze comedy kwanzia ikiwa EATV mpaka TBC watakua mashuhuda katika hili