Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Nijue kisa cha kutemana na eatvKwanini umeuliza hivyo?
Nijue kisa cha kutemana na eatvKwanini umeuliza hivyo?
Media zipo nyingi na wahusika wanajua wapi watafaidikaNijue kisa cha kutemana na eatv
Ooh vizuriMedia zipo nyingi na wahusika wanajua wapi watafaidika
We ni kopo kweli mku,kwani mambo na vijimambo ni program ya wasafi?wasafi wanaigaiga, kwanini wasianze their own programs from scratch? Yaani ubunifu zero kabsa
Now wasafi TV ndio inayotrend sana kwa vijana nk na inapatikana kwenye almost platform zote hapa tz tofauti na EATV ambao wanashuka kila uchwaoNijue kisa cha kutemana na eatv
KAZOA hachelewi kulamba SANITIZER HAHAHAH!Session ya cha uroho Kazoa huwa anafurahisha sana....popote ulipo Kazoa agiza sanitizer nakuja kulipa
Sent using Jamii Forums mobile app