Jambo lolote kuhusu Magufuli, ni" Breaking News" Kenya, hii imekaahe?

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


Sikutegemea kabisa kama huu uzishi uliopita katika mitandao ya kijamii ungeweza kurushwa katika chombo kikubwa cha habari, tena cha nchi ya nje.

Huu ulikua ni uzushi usiokuwa na chanzo chochote zaidi ya Maneno ya kijiweni, si kutegemea chombo chochote makini cha habari kuzungumzia na kutangaza jambo hili.

Hii ni dalili wazi kwamba, vyombo mbali mbali duniani vinafuatilia kwa makini sana maisha na utendaji Kazi wa Magufuli.
Magufuli hoyeeeee
 
Ndugu yangu acha tu, Magu wetu anao ushawishi mkubwa sana, kuna kipindi nilikua Zimbabwe nilishangaa sana jinsi Magu alivyo celebrity kule, wanasiasa hawawezi kuongea sentence mbili bila kumpachika

Mungu tutunzie Magu wetu umuepushe na na waovu wote wasio mtakua jema 🙋
 
Umehepa Normandy landings 😂😂😂 ama kwa kitanzania Ni Bagamoyo landings? Hebu Weka Tena hio world war 2 enactment in Tanzania😂😂😂 tofauti yenu na Hii hapa chini Ni rangi
images (20).jpeg
 
Back
Top Bottom