joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Sikutegemea kabisa kama huu uzishi uliopita katika mitandao ya kijamii ungeweza kurushwa katika chombo kikubwa cha habari, tena cha nchi ya nje.
Huu ulikua ni uzushi usiokuwa na chanzo chochote zaidi ya Maneno ya kijiweni, si kutegemea chombo chochote makini cha habari kuzungumzia na kutangaza jambo hili.
Hii ni dalili wazi kwamba, vyombo mbali mbali duniani vinafuatilia kwa makini sana maisha na utendaji Kazi wa Magufuli.
Magufuli hoyeeeee