Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,671
- Thread starter
- #41
Basi itabidi nikariri hiyo mitaa nisipite tena[emoji3] [emoji3] [emoji3] kule kina aunt fulani wapo wengi sana
Basi itabidi nikariri hiyo mitaa nisipite tena[emoji3] [emoji3] [emoji3] kule kina aunt fulani wapo wengi sana
Ww ni mwanamke wa dar au mikoani kama miminmecheka sana [emoji23]
mm ni mwanamke ila sijawah kumshika dereva kiuno hao ulowaona wana yao
Nipo DarWw ni mwanamke wa dar au mikoani kama mimi
Keep watching utayaona, tahadhari ni kwamba wa dar wakiend dodoma baadhi ya tabia waziache hukohukoNipo Dar
hayo uliyoyaona mi sijawah kuyaona kabisa
Keep watching utayaona, tahadhari ni kwamba wa dar wakiend dodoma baadhi ya tabia waziache hukohukoNipo Dar
hayo uliyoyaona mi sijawah kuyaona kabisa
Aisee...JF inazidi kuharibika.Wanaume wa Dar ni viumbe wasio na vigezo, yaani huwezi kujifananisha na mwanamme wa Dar kwa sababu kwao kushikana na kuchezeana madushe ni kawaida, hapa utakosa kuwa shoga? Mwanamme ukivaa vizuri watakushika na kukutomasa tako kuona kama liko poa, mwanamme ukiwa mtanashati utashangaa atakuja kijana wa Dar mbele yako na kubong'oa kujifanya kaangusha hela, kumbe anataka dushe lako limguse akajisifie kwa wenzake vijiweni kuwa alikushitua. Sina hamu na Dar na sitaki hata kusikia ujinga wao tena.
.Mimi ni mgeni hapa jijini siku ya tatu sasa toka nimefika. Nimekuwa nikilisikia jiji hili kwa muda mrefu na nikitamani kufika.
Kwa hizi siku tatu moja ya mambo yaliyonishangaza ni kuona wanaume wamebebana kwenye pikipiki abiria kamshikiria dereva kiunoni. Jana nilipishana na pikipiki moja leo nimepishana na mbili ziko hivyo. Sasa wazoefu wa dar mnijuze hii ni kawaida au imewatokea hawa tu maana kule kwetu sijawahi ona hii na ikitokea itakuwa ajabu
hawa ni wanaume wa uganda
Ndo sampo yenyewe hii[emoji2] [emoji2]
Basi kuna maajabu mengi huku! Mimi mgeni ndo nashangaa kumbe mambo ya kawaidaWewe unashangaa kushikana viuno?
Mademu hushika dushe za waendesha bodaboda,ndio maana wengi wao wanawabandua sana wake za watu,coz muda wote dushe zipo ON.!!
Kazi ya u house girl iliyokuleta naona itakushinda maana unatumwa gengeni badala ya kuwahi uje kufua nguo za watoto unabakia kushangaa pikipiki
Walikuwa kwenye speed sana alafu ukizingatia mi mgeni wa jiji naogopa hata hiyo kuulizaWatu wanabebana kwenye pikipiki barabarani wewe unashangaa mshangao wako unakuja kuuliza JF na wakati ulipaswa uwasimamishe kwa kuwakimbilia kwa nguvu zote hadi wasimame na uwaulize kwanini wameshikana hivyo so that means ungekuja na taarifa kamili.