Jambo lililonishangaza kwa wanaume wa Dar es salaam

Jambo lililonishangaza kwa wanaume wa Dar es salaam

😀😀😀😀😀
subiri wenye mji waje
 
Mimi ni mgeni hapa jijini siku ya tatu sasa toka nimefika. Nimekuwa nikilisikia jiji hili kwa muda mrefu na nikitamani kufika.

Kwa hizi siku tatu moja ya mambo yaliyonishangaza ni kuona wanaume wamebebana kwenye pikipiki abiria kamshikiria dereva kiunoni. Jana nilipishana na pikipiki moja leo nimepishana na mbili ziko hivyo. Sasa wazoefu wa dar mnijuze hii ni kawaida au imewatokea hawa tu maana kule kwetu sijawahi ona hii na ikitokea itakuwa ajabu
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Pamoja na kusemwa sana ila wanaume wa dar hambadiliki
 
Back
Top Bottom